pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,098
- 12,472
Pengine 'Aje' inaweza ikawa nyimbo ya mwisho ya Ali Kiba chini ya producer Abby Dad ambaye ametengeneza nyimbo kadhaa za Ali Kiba.
Abby dad ametengeza hits kama [HASHTAG]#Nagharamia[/HASHTAG] [HASHTAG]#Chekecha[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] ambazo zilifanya vizuri sana.
Hivi karibuni ilikuwa inatarajiwa kuachiwa Aje remix ambayo ilipangwa kuachiwa November 29 siku ya birthday ya Ali Kiba, lakini habari zinazoendelea kusambaa ambazo zilianza kama masihara ila kwa sasa zinaanza kuaminika kutokana na taarifa za watu wa karibu, ni kwamba Abby dad nido anayechelewesha kutoka kwa Aje Remix na mpaka sasa amekataa kutia sahihi yake kwenye mkataba ili ngoma iwe released.
Abby dad anataka 50%/50% katika nyimbo ya aje ikiwemo katika show iTunes na mapato yatakay patikana anataka nusu kwa nusu.
Kuna taarifa kwamba WCB wanamrubuni Abby dad ili aachane na Kiba japo taarifa hizo sio confirmed. Hii ni baada ya Ku tengeneza 'kokoro'.
Prodyuza Abby dad..
Abby dad ametengeza hits kama [HASHTAG]#Nagharamia[/HASHTAG] [HASHTAG]#Chekecha[/HASHTAG] na [HASHTAG]#Aje[/HASHTAG] ambazo zilifanya vizuri sana.
Hivi karibuni ilikuwa inatarajiwa kuachiwa Aje remix ambayo ilipangwa kuachiwa November 29 siku ya birthday ya Ali Kiba, lakini habari zinazoendelea kusambaa ambazo zilianza kama masihara ila kwa sasa zinaanza kuaminika kutokana na taarifa za watu wa karibu, ni kwamba Abby dad nido anayechelewesha kutoka kwa Aje Remix na mpaka sasa amekataa kutia sahihi yake kwenye mkataba ili ngoma iwe released.
Abby dad anataka 50%/50% katika nyimbo ya aje ikiwemo katika show iTunes na mapato yatakay patikana anataka nusu kwa nusu.
Kuna taarifa kwamba WCB wanamrubuni Abby dad ili aachane na Kiba japo taarifa hizo sio confirmed. Hii ni baada ya Ku tengeneza 'kokoro'.
Prodyuza Abby dad..