Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,527
- 65,243
Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kusubiri idhini ya Ali Kiba, acha hizo zako wewe!Kulikuwa hakuna namna! Bob junior alikuwa tayari kuhatarisha urafiki wake na kiba lakini sio kukiacha kichwa kilichokuwa na kila dalili ya kuwa 'A list' artist.. Kiba ikambidi tu awe mpole l..
Unataka kusema Bob Junior alirekodi Kamwambie bila idhini ya Ali Kiba?