Ali Kiba na Abby Daddy waingia katika mgogoro mzito, WCB wahusishwa

Kulikuwa hakuna namna! Bob junior alikuwa tayari kuhatarisha urafiki wake na kiba lakini sio kukiacha kichwa kilichokuwa na kila dalili ya kuwa 'A list' artist.. Kiba ikambidi tu awe mpole l..
Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kusubiri idhini ya Ali Kiba, acha hizo zako wewe!

Unataka kusema Bob Junior alirekodi Kamwambie bila idhini ya Ali Kiba?
 
Umeona bila kutaja WCB thread isingepata wachangiaji? Au ndio kiki ya kusindikiza release ya huo wimbo?

Tatizo hamjiamini, si kila kiki mtafutie kupitia mgongo wa Diamond.. Hata mtoto ananyonya miezi kadhaa mpaka miaka miwili ila sio miaka yote mnataka kubebwa tu!!
Hujui unachokiongea we we soma vizuri uelewe ndo uchangie
 
Very well said. I salute you Sir.

Mkuu pwilo,

Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)

Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)

Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!

So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..

Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..


The Bold.
 
Haya mambo yataisha lini bongo
Yataisha kipindi ambacho Producers watapoamka na kuwa na ushirikiano wao kwa pamoja, maana naskia wanalipwa hela kidogo sana wakitengeneza nyimbo hata Master J alilalamika sana sema hawana ushirikiano kabisa
 
Mkuu pwilo,

Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)

Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)

Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!

So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..

Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..


The Bold.
Mkuu IPO hivi abydad na management ya kiba walishakubaliana siku ya kutoa wimbo ila cha ajabu jamaa kabadilika ghafla ndo jamaa wakaunganisha dot huenda wcb wanahusika kwa ila sio directly
 
Hakukuwa na namna nyingine zaidi ya kusubiri idhini ya Ali Kiba, acha hizo zako wewe!

Unataka kusema Bob Junior alirekodi Kamwambie bila idhini ya Ali Kiba?
Tatizo mnapenda sana historia

Anyways, kiba amemsaidia vitu vingi simba kabla hajatoka and we are thankful for that!!
 
Mkuu IPO hivi abydad na management ya kiba walishakubaliana siku ya kutoa wimbo ila cha ajabu jamaa kabadilika ghafla ndo jamaa wakaunganisha dot huenda wcb wanahusika kwa ila sio directly
Aje ina remix ngapi mkuu...
Kuna ile inaanza yule mnaija ndo anaimba then ndo anafuata kiba ama sio hiyo?
 
Mkuu pwilo,

Umekosea sana kumuhusisha Simba na tofauti iliyopo kati ka kiba na aby daddy! (Kama tofauti zao zimekuwa kubwa kiasi hicho)

Kuhusu wimbo wa kokoro:
Wimbo huu haujarekodiwa juzi juzi kama unavyodhani.. Wimbo umerekodiwa kabla mavoko hajamwaga wino rasmi wcb (ndio walikuwa kwenye mazungumzo)

Kwahiyo kipindi mavoko ameingia rasmi wcb tayari alikuwa na huu wimbo ukiwa umeingizwa verse moja tayari na ulikuwa na chorus tofauti kidogo na hii chorus ya sasa (zinafanana kidongo ingawa).
Na ieleweke kuwa mavoko pia anazo nyimbo nyingine nyingi hazijatoka zimerekodi kabla hajaingia wcb!

So miezi kama miwili iliyopita baada ya kukubaliwa kuwa wimbo huu utoke na kufanyiwa video, kilichofanyika ni kuurekebisha kiasi na kuuboresha... Ndio hapo Simba akaingiza verse yake na kuingiza sauti kwenye chorus.. Kisha Laizer akaujazia vionjo vichache na kuufanyia 'mastering'..
Hicho ndicho kilichofanyika..

Si sawa kumuhusisha Diamond na kila kitu cha Kiba kinachoenda kombo!
Kwa niaba ya mashabaki wote wa Diamond platnumz na WCB, tuwaoombee heri Kiba na Abby Daddy wafikie muafaka na waendelee na kazi.. Tunahitaji wasanii wengine waongezeke kuiwakilisha Tanzania kimataifa! Kiba kukosana na Abby daddy ni setback na sio suala linalosogeza mziki wetu..


The Bold.
Najua diamond hawezi Ku record kwa abydad ndo maana alikataa kushiriki kwenye wimbo wa mkungu wa ndizi ndo wakaitoa hivyo ndo maana hapo nimesema not confirmed
 
Hata mm sielewi aje ina remx ngapi maana kuna ile alimshirikisha MI au haikuwa official
 
Huu ndio muda maproducer kukaza, wasanii wanapiga ela ndefu kishenzi, sijajua leizer wa wasafi pamoja na kutengeneza hit nyingi mwaka huu sijui zinamnufaishaje
 
Hivi nyie Team Kibakuli Hivi Hamuwezi kutoa Post zenu bila ya kuwataja WCB na diamond???mbona wenzenu WCB wapo kimya wanapiga mishe zao nyie mpo bussy kuwasema :D
 
Naanza kuamini alikiba sio lolote bila mond. Hata habari zake hazipati wachangiaji bila kuweka jina la mond au wcb.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom