mi ni fan wake ila nimeshangaa sana
sijui Godfather hawakumuambia nyimbo inahusu nini?
alipokuwa anatembea angalau angekuwa kama anaangalia labda mtoto nje ya geti anagombana na wazazi kisha anaondoka
then scene nyingine yuko anakula drugs huku kiba anamsikitikia akiendelea kuimba
video ilihitaji ka story, iko flat mno