Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Duu nimekuwa dissapointed tena na Kiba duu bado siamini kama hii ndio ngoma aliyo kwenda kurekodi! Nyimbo ina makosa mengi sana tena sana... ! Nyimbo ina makelele sana ...pia ni ya kiwango kidogo sana!Pia melody ni ya wimbo wa Hussein Machozi!
Mwanzo nilimtetea nikidhani sio wimbo halisi lakini baada ya kuusikiliza kule mkito nimeshangazwa sana tena sana.....
Mwanzo nilimtetea nikidhani sio wimbo halisi lakini baada ya kuusikiliza kule mkito nimeshangazwa sana tena sana.....