Mi naona nayo hii ni kiki. Kiba hawezi akawa mjinga kiasi hiki.
Duh kiroho safi mkuu una chuki na jamaa mpaka nahisi kuna kitu mbaya aliwahi kukufanya,kama wewe ni KE sio kesi ni kawaida yenu ila kama ni ME fanya kujichunguza upya kuna tatizo mahali fulani.Mi naona nayo hii ni kiki. Kiba hawezi akawa mjinga kiasi hiki.
Sio kama ina fanana,ndio yenyewe na ukiona hivi jua ndio jahazi limesha panda mwamba tena ubunifu kwisha.Ngoma nzuri but kama inataka kufanana na ngoma ya Hussein machozi am addicted
Hahahahahaaa you made my day,thanks.Duh kiroho safi mkuu una chuki na jamaa mpaka nahisi kuna kitu mbaya aliwahi kukufanya,kama wewe ni KE sio kesi ni kawaida yenu ila kama ni ME fanya kujichunguza upya kuna tatizo mahali fulani.
Nah hard feelings tho'
Teh Teh ...noma sana hii itakuwa video au kampeni ya uchaguzi?muda wote huo,,,,,Vedio itatoka 05/11/2016
hahahahahahahahahawakat diamond yupo outspace alikiba yupo airport
Maneno yako yanatoka rohoni? Huu wimbo amepoteza kabisa. Hana consistance, kibao kikali kama Mwana Dar nakiri kuwa audio yake nimeikubali sanaaaaaa. Wimbo Cheketua ulishuka kulinganisha na Mwana, lakini huu wa Lupelo ameharibu kabisaaaaa.Wimbo mzuri;sauti na mapigo yako poa,mahadhi tofauti,good!.
wewe acha unazi hapa hakuna kama kiba hapa bongo watapita wengi lakini always KING IS A KING. K 4 REALMy opinion!! Nyimbo ya kawaida coz kama kacopy mdundo wa husen macho vileee