playboy baabu
Member
- Feb 4, 2016
- 83
- 12
Unaonaje kama ungeanza kuniuliza babu yako nlianza kufungua mkito saa ngapi afu na ww ndo ungekoment mjukuu wangu ?...uthikurupuke siku nyingine sawa mjukuu wangu eeeeeh...basi sawaaa ahsante kwa kuniahd kwmb hutokurupuka tena kudandia trenNauliza sababu kwa mida hii ya Tanzania mmmh, danganya wengine.
Hata ungekuwa unamuongelea Baraka dexPrince ningeuliza tu.