Ali Kiba - Lupela

Ujumbe umfikie dada Nifah
 
Kibongobongo utapewa airtime ya kutosha na mawingu FC hadi utakuwa tu.
 
Hivi msanii Wa kimataifa maana yake nini?...huenda mm sielewi tuanzie hapo kwanza then ndo tujue kiba tumuweke kundi gani... Hebu Kaka hapa uloandika nusu barua kama koment msanii wa kimataifa maana yake nini?
 
Ila speaking of the song,wimbo ni upo chini ya kiwango kuliko huyo kiba anavokuwa overrated...naamini hata NIFAH na wenzake wamegundua hili ila watafanye sasa na ndo washaamua kulipenda donda ndugu. Labda tuisubir.iyo originale!
 
Hivi msanii Wa kimataifa maana yake nini?...huenda mm sielewi tuanzie hapo kwanza then ndo tujue kiba tumuweke kundi gani... Hebu Kaka hapa uloandika nusu barua kama koment msanii wa kimataifa maana yake nini?
Mmmmh,mdau uctake kuja kusema Kiba kujulikana Afrika Mashariki ndo keshakuwa msanii wakimataifa hapa!Afrika Mashariki hata Berry black wanamjua.
 
Mmmmh,mdau uctake kuja kusema Kiba kujulikana Afrika Mashariki ndo keshakuwa msanii wakimataifa hapa!Afrika Mashariki hata Berry black wanamjua.
Hujajibu swali bro.... Fafanua maana ya msanii Wa kimataifa then twende Kazi kwa hoja Mzee
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…