Ali Kiba - Lupela

Ali Kiba - Lupela

Wimbo mzuri sema una kelele sana.
Wimbo una dakika 2.49 ila kiitikio kimeimbwa dakika 1.30, sekunde 20 za mdundo kabla ya kuimba na sekunde zilizobaki ndio verse.
Neno Lupe Lupe limetamkwa zaidi ya mara 60.
Ukiusikiliza utadhani unasilikiliza addicted wa Machozi

Asante Kiba, ila jipange walau ufikikie level za Baraka Da Prince


Umeongea neno verse kidogo sana karudia rudia tu lupela, no massage
 
kiba ni mfalme hakuna kama yeye bongo msanii pekee aliyetoka na R.KELLY ndani ya bongo na east africa, no one like him.
 
Huyu jamaaaa angeacha tu kuimba,ilikuwa dhamani ka makimga,sindelela nk....lakin saiv kiba ningeshauli atulie kwa mda flani halafu aje upya tena kwa sasa hakuna kanisa nyimbo zake haz heat ila komaaa kaka.
 
Yaani Duuu sijui lakini kwa hii nyimbo hata kama wanasema OG inatoka kesho si dhani kama itatofautiana sana na hii.....

Nilivyo kuwa naitegemea Lupela sio hivi nikiangalia na Dance ya Lupela ya Sauti Soul nilijua itakuwa mahadhi yale....

Kitendo cha beat ake kufanana na addicted ya husein machozi ni mwanzo wa nyimbo kuchuja Mapema sana! Nyimbo chafu sana labda og ya kesho itakuwa imesafinywa maana kwa hii nasikia Lupe Lupe tuu hii nyimbo hata ipewe airtym kubwa kivp hii kiukweli kachemka

Achia body ya Ommy,Siwezi ya Baraka,asanteni kwa kuja ya Ay ni baadhi ya nyimbo kali kuliko hii
 
wakuu K 4 REAL anatisha hii ngoma ni noumaaaa usichezee moto wa K 4 REAL ata monds anaujua ndo maana amekaa kimyaaaa. kiba anatishaaaaaa
kweli kwa wimbo huu ndio ategemee kupata tuzo za kimataifa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom