Ali Kiba - Lupela

Ali Kiba - Lupela

OK ok ok..
1st. Wote tunajua kuwa kiba anafight awe msanii wa kimataifa na tunamuombea kheri kwenye hilo so ameona afanye wimbo electronic ili apate attention ya kimataifa ila alochokosea ni kwamba nyimbo za mahadhi ya electronic zinapendwa zaidi nnchi za magharibi na si afrika, na ili uliupenye soko la magharibi kwanza unatakiwa uwe na base nzuri afrika! So hapo naona ‘king’ amechemka au waliomshauri walipotoka..

2nd. Kiba ni msanii mkubwa sana hapa Bongo sikutegemea afanye kosa kama hili wimbo huu kwa 70% umefanana kabisa na wimbo wa Hussein machozi ”am ddicted to you”!! Tunaweza tukabisha, tukavua Nguo na kugaragara kwa ubishi wa mahaba, lakini ukweli ni huo wimbo huu ni kama amesamlpe ‘addicted to you’!! Angefanya kosa hili underground ningeelewa lakini kiba??? Jamani, what happened???

3rd. Kiba hatakiwi kulazimisha kutengeneza ‘club bangers’, aina yake ya uimbaji inafaa nyimbo flani hivi za Ujumbe wa kusikiliza kwa utulivu mfano nyimbo ya mwana!! Sasa hii kasumba ya nayeye anataka awe na club banger inampoteza na ndicho kilichomcost kwenye cheketua!!

Mwisho! Namshauri kiba atoe nyimbo nyingine fasta kuepuka damage ya itakayoletwa na hii nyimbo maana kwa promo iliyopewa hii nyimbo kwa kweli niko very disappointed.!!

c'mon kiba you can do better than this, alafu usitake kushindana na wenzako ambao wameshavuka tayari jaribu kujifunza kutoka kwao!!
 
Alikiba ukisikiliza hawa nyumbu itafika mahali utashindwa kunya na chakula umekula mwenyewe kwa raha zako......kwani binadamu wanakosa la kusema basi!!!

Aaah bhana wee, shusha dude hilo watu tujisafie nafsi mwenye povu akajisuuze mto msimbazi! Arrghaaa!
 
wakuu K 4 REAL anatisha hii ngoma ni noumaaaa usichezee moto wa K 4 REAL ata monds anaujua ndo maana amekaa kimyaaaa. kiba anatishaaaaaa
wewe acha unazi hapa hakuna kama kiba hapa bongo watapita wengi lakini always KING IS A KING. K 4 REAL
ahahahah...
hivi inaweza kuwa MAPENZI ni UPOFU..?
inaweza kuwa wew ndo unajibu la hili swali mkuu..!
 
Alikiba ukisikiliza hawa nyumbu itafika mahali utashindwa kunya na chakula umekula mwenyewe kwa raha zako......kwani binadamu wanakosa la kusema basi!!!

Aaah bhana wee, shusha dude hilo watu tujisafie nafsi mwenye povu akajisuuze mto msimbazi! Arrghaaa!
Mimi hiki kipande tu kimeshanichizisha tayari....
Haters mapovu mengi sana,no time to waste
Ngoja nienjoy Lupela mie
 
Umeonae yani kumbe mashabiki cc ndo tunasababisha vitu poor!!!!
Yaah kuna vitu vipo wazi ndo maana wenzetu wakasema call spade the spade kiuhalisia na kimtizamo wa mashabiki wake ambao wana tegemea makubwa kutoka kwake.Anajikuta ana mlima mrefu wa kupanda kusingekuwa na tatizo kama asingekuwepo diamond ingekuwa sawa ila uwepo huo ndo tatizo kwamba huyu akitoa kitu kizuri basi na yule atoe kimsingi ningefurahi kuwa na wana muziki wengi kama ilivyo nigeria but wana safari ndefu na Waache kujidanganya.
 
wewe acha unazi hapa hakuna kama kiba hapa bongo watapita wengi lakini always KING IS A KING. K 4 REAL
Hizi sifa ndizo zinazomshusha maana, namsifia kwenye mtandao mauzo anafanya mwingeni, Kiba aambiwe kweli ili arekebishe. Mlilinganisha Nana na cheketua, Utanipenda na single ya mwisho Ally, nimesahau jina lake. Ila jibu liko mitaani kila unapopita wimbo wa Diamond unapigwa zaidi.
 
K
Yaah kuna vitu vipo wazi ndo maana wenzetu wakasema call spade the spade kiuhalisia na kimtizamo wa mashabiki wake ambao wana tegemea makubwa kutoka kwake.Anajikuta ana mlima mrefu wa kupanda kusingekuwa na tatizo kama asingekuwepo diamond ingekuwa sawa ila uwepo huo ndo tatizo kwamba huyu akitoa kitu kizuri basi na yule atoe kimsingi ningefurahi kuwa na wana muziki wengi kama ilivyo nigeria but wana safari ndefu na Waache kujidanganya.
Maneno yako yana ukweli ambao watu hawaupendi.
 
66cd93e9e31e567e6033a3385437bf4e.jpg

baby hivi unawaimbia tembo au unaniimbia mimi?
Kwanini usifanye kama baba T
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom