Best hizi siasa sijawahi kuwa nazo interested kama mwaka huu, na nimeumia mnoooo!
Acha tu
mito ile siku sikulala kabisa, kama utakumbuka tetesi zilianza saa 7 basi nilikesha simu mkononi nisiamini kilichotokea.
Nahisi kurudia kuichukia tena siasa, sio kwa mambo yale kwakweli.