Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

si unaona tatizo lipo kwako... Mi ninajielewa sio shabiki maandaz, kunatatizo llolote kwenye nilichoandika?..

Sio kila mda mtu yupo kishari.. watu tunamioyo ya almasi, nivile tu nakereka na some stuffs it does not mean i am the way you think i am.. We may be arguing but deep within my heart i can hear whispers of diamond as a winner at the same time nikitamani King awepo pande zile.. Sina roho mbaya kihiiivo

Tatizo lipo kwangu YES.
Nakerekwa na watu type yako.
Yes unafiki tu, huwezi ukawa unawaprovoke watu makusudi kabsa at the end of the day unataka uonekane clean.
Wewe ni shabiki kitumbua na NO huna mapenzi mema na Kiba.
Hayo mengine sijui.
 
Tatizo lipo kwangu YES.
Nakerekwa na watu type yako.
Yes unafiki tu, huwezi ukawa unawaprovoke watu makusudi kabsa at the end of the day unataka uonekane clean.
Wewe ni shabiki kitumbua na NO huna mapenzi mema na Kiba.
Hayo mengine sijui.

daaaaaah sio case.. vipi wewe unamapenzi mema ni diamond?? kama ndio je umempigia kura tuzo alizochaguliwa jana??

To my side kiba ni mkali wangu sana tu, sasa hivi nilikuwa nasikiliza my everything, one of my favourite song of all time..
 
Aminia.. mbona king hajapigia promo hii, kama simesikia ipo out siku kadhaa zimepita hivii..

kila mtu kivyake hiyo ye mwenyewe video yake tu haipigii promo itakua hiyo ya mwenzake he is arrogant to some extent
 
kila mtu kivyake hiyo ye mwenyewe video yake tu haipigii promo itakua hiyo ya mwenzake he is arrogant to some extent

Mkuu ni vipi?..unayo habari single ya MWANA ya ALIKIBA ilikuwa kwenye TOP-20 ya iTunes kupitia playlist yao ya "HOT MUSIC CHARTS",ilikuwa katika nafasi ya kwanza katika wiki ya kwanza mwezi june kisha ikashika nafasi ya pili kwa wiki mbili mfululizo zilizofata then hii leo ipo katika nafasi ya 25 katika TOP-40 za iTunes kwa wiki ya sita sasa check hapa...
http://www.hotmusiccharts.com/ke/itunes
 
Mkuu ni vipi?..unayo habari single ya MWANA ya ALIKIBA ilikuwa kwenye TOP-20 ya iTunes kupitia playlist yao ya "HOT MUSIC CHARTS",ilikuwa katika nafasi ya kwanza katika wiki ya kwanza mwezi june kisha ikashika nafasi ya pili kwa wiki mbili mfululizo zilizofata then hii leo ipo katika nafasi ya 25 katika TOP-40 za iTunes kwa wiki ya sita sasa check hapa...
http://www.hotmusiccharts.com/ke/itunes

Msanii anafaidika na nini?
 
Msanii anafaidika na nini?

Mkuu hapo sijui kwa undani ila kikubwa ni Wanatengeneza TITLE ambayo inaweza wasaidia kwenye kuwania nomination za tuzo mbalimbali au kupata collabo na msanii mkubwa(maarufu) zaidi yao,na ikitokea wamepata nomination na kushinda tuzo huwa wanapewa na pesa nzuri tu mfano;kwa tuzo za "KORA ALL AFRICA MUSIC AWARDS 2015" zina shavu sana,kwa mfano;ikitokea msanii ameshinda category ya kawaida anapata tuzo na $50000 na ikitokea msanii anashindana category kubwa kama msanii bora wa mwaka kwa bara la africa (BEST MALE or FEMALE ARTIST OVER THE CONTINENT) mwaka huu atapata tuzo na $1000000.hizo ni faida chache nazojua za msanii kusikika katika MUSIC CHARTS kubwa kama izo iTunes, trace,MTV,Channel O,billboard...n.k
 
si unaona tatizo lipo kwako... Mi ninajielewa sio shabiki maandaz, kunatatizo llolote kwenye nilichoandika?..

Sio kila mda mtu yupo kishari.. watu tunamioyo ya almasi, nivile tu nakereka na some stuffs it does not mean i am the way you think i am.. We may be arguing but deep within my heart i can hear whispers of diamond as a winner at the same time nikitamani King awepo pande zile.. Sina roho mbaya kihiiivo

Well said
 
Back
Top Bottom