Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

close this one will b better than discussing with stu.pid fans who wants every one to love a certain artist (close will be better) kingkiba 4realy

Mkuu kwani walipomzomea diamond kipindi kile walikuwa na maana gani???? Sisi tulikuwa wapole mnoo until then mlitupanda kichwani ndio maana the situation is the way it is...
 
close this one will b better than discussing with stu.pid fans who wants every one to love a certain artist (close will be better) kingkiba 4realy

Relax mkuu, soon you will hear the voice with Authority in here.
 
ONE LOVE ..

Team wasafi hatunaga shida, until President anapokosewa..

#kingkiba

we jamaa acha unafiki mumeanzisha mada ya tuzo za dai page 3 zote mnamzungumzia kiba y while is local artist like best naso as u hve said
 

Attachments

  • 1436989000726.jpg
    1436989000726.jpg
    25.9 KB · Views: 84
  • 1436989049177.jpg
    1436989049177.jpg
    33.8 KB · Views: 82
  • 1436989089840.jpg
    1436989089840.jpg
    33.6 KB · Views: 80
Mkuu kwani walipomzomea diamond kipindi kile walikuwa na maana gani???? Sisi tulikuwa wapole mnoo until then mlitupanda kichwani ndio maana the situation is the way it is...

mkuu unaelewa mada sasa mambo ya kuzomewa yametoka wapi mtu unapewa ban bila sababu ya msingi mi sizungumzii ushabiki kila mtu ana haki yakufanya anachotaka au kukoment y us
 
yani mkuu huu ni ujinga huu haki ya mungu hata katiba hairuhusu yani hawa jamaaa sio insta sio jf wao ni ugomvi et sote tumpende dai not possible

wanajiona wao ndo kila kitu kumbe chenga tu.
 
we jamaa acha unafiki mumeanzisha mada ya tuzo za dai page 3 zote mnamzungumzia kiba y while is local artist like best naso as u hve said

kuzungumziwa sio shida tatizo anazungumziwa vipi??? anyways ni ushabiki tu DON'T TAKE IT SERIOUS
 
kuzungumziwa sio shida tatizo anazungumziwa vipi??? anyways ni ushabiki tu DON'T TAKE IT SERIOUS

mi sipo serious ila mnatutafutia ban cc tukiwajibu huu ni ushabiki tuu mbona nyie hamuathiriki na hili la ban
 
mi sipo serious ila mnatutafutia ban cc tukiwajibu huu ni ushabiki tuu mbona nyie hamuathiriki na hili la ban

Basi sawa mkuu.. kwa heshima niliyonayo kwa king Nasepa.. Usiku mwema wadau, appologies to all niliowakwaza.. Inshallah tuamke wazima wa afya keshi na tusiwe na mikwaruzano yeyote..

ONE LOVE
 
Basi sawa mkuu.. kwa heshima niliyonayo kwa king Nasepa.. Usiku mwema wadau, appologies to all niliowakwaza.. Inshallah tuamke wazima wa afya keshi na tusiwe na mikwaruzano yeyote..

ONE LOVE

Kwa akili yako unadhani wote hapa tupo Tanzania muda huu?
 
Basi sawa mkuu.. kwa heshima niliyonayo kwa king Nasepa.. Usiku mwema wadau, appologies to all niliowakwaza.. Inshallah tuamke wazima wa afya keshi na tusiwe na mikwaruzano yeyote..

ONE LOVE

Unafiki gonjwa baya sana.
Unamalizia kabisa na inshallah!!
 
Unafiki gonjwa baya sana.
Unamalizia kabisa na inshallah!!

si unaona tatizo lipo kwako... Mi ninajielewa sio shabiki maandaz, kunatatizo llolote kwenye nilichoandika?..

Sio kila mda mtu yupo kishari.. watu tunamioyo ya almasi, nivile tu nakereka na some stuffs it does not mean i am the way you think i am.. We may be arguing but deep within my heart i can hear whispers of diamond as a winner at the same time nikitamani King awepo pande zile.. Sina roho mbaya kihiiivo
 
Back
Top Bottom