Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

sio mara ya kwanza kazoea ila mpotezee tu si umeona katulia hamna mtu aliye mjibu hata kiba katoboa mwenyewe trace sio mpaka collabo ndo wanaipiga

aya chekecha chekecha ×11

Mbona number one original ilitoboa trace yeneye au ushasahau Mara hii
 
Nimeskia video ya joh makin ya nusunusu imeshika namba moja mtv. Jamaa katoboa mwenyewe kimataifa bila kutegemea nigeria kama kina mwanafulani hapo tandale.

Tulitoka wenye coco kwanza then ikaja remix n davido tena kipindi ichi trace ilikuwa ufaransa hawakuwa n office Nigeria km sasa ivi
 

Attachments

  • 1436121260467.jpg
    1436121260467.jpg
    34 KB · Views: 78
  • 1436121302823.jpg
    1436121302823.jpg
    43.6 KB · Views: 79
sio mara ya kwanza kazoea ila mpotezee tu si umeona katulia hamna mtu aliye mjibu hata kiba katoboa mwenyewe trace sio mpaka collabo ndo wanaipiga

aya chekecha chekecha ×11

Kipindi icho trace ilikuwa France sio sasa ivi kuna brach Nigeria ilikuwa video ya nne from tz kuchezwa
 
sio mara ya kwanza kazoea ila mpotezee tu si umeona katulia hamna mtu aliye mjibu hata kiba katoboa mwenyewe trace sio mpaka collabo ndo wanaipiga

aya chekecha chekecha ×11

Asante kwa muongozo
 
Kiba hana majigambo bana, hawez waambia mashabik wake kuwa sasa naogea sink la silver, anajua fans wake ni kina nani, domo kanyooka siku hizi ile uswahili wake wa kuponda mashabiki kaachaacha na kupost mashelf ya kichina jikon kaacha. Hahhahaa kiba anapost kazi tu sio kuonyesha sufuria analopikia n.k.
Halafu KILAZA WE MWENYEWE NDOOOOOROOOBO WEWE

Kilaza yeye na ukoo wake.
 
Nakwambiia!
Nimebanwa ila lazima nipite hapa.
Nkiwaona vibwengo kama huyu nashindwa kujizuia.
Jana mlimshambulia mtu mpaka nikawaogopa😀😀😀:thumbup:

Hawa dada zetu tushawazoea, hamna namna nyingine zaidi ya kuwavumilia tu, tutawafanyaje sasa na walichagua vilaza wazoefu wawe wanakuja kutuchafulia uzi.
 
Msamehe, ndio kwanzaaaa post zenyewe anazo sijui 2 humu, so anatafuta umaarufu, potezea tu, si unajua wamesombana toka insta waje wafanye wht they can do beta!!

Hayaaaa chekecha cheketuaaaaa

kaanzisha uzi halafu anajibu mwenyewe hajielewi kabisa.

tucheketua tu. #kingkiba
 
kuna watu ni vichwa nazi sana.

chekecha chekecha cheketua

Aaaah kwa raha zetu kwa taabu zao.
Twacheketua tu kwa raha zetu, nasikiliza "nichum", i love this song jamani, long time kitambo yaani.
 
Aaaah kwa raha zetu kwa taabu zao.
Twacheketua tu kwa raha zetu, nasikiliza "nichum", i love this song jamani, long time kitambo yaani.

nyimbo hazichuji kabisa kuna ule wimbo unaitwa mdogo wangu kama sikosei
 
Back
Top Bottom