data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,943
- 23,884
Shostito mbona unakuja na kukimbia?
Nikutake mtoto wa kike mwenzangu ili iwaje?
You promised never to quote ur rivals. I wonder whats getting down,.!!
Huh!
Shostito mbona unakuja na kukimbia?
Nikutake mtoto wa kike mwenzangu ili iwaje?
Shostito mbona unakuja na kukimbia?
Nikutake mtoto wa kike mwenzangu ili iwaje?
Video ya chekecha imedoda kwi kwi kwi kwi
5days views 282,494.
kwih kwih kwih kwih
chekeeeechaaaaa cheeeeekeeeechaaaaa
cheeeeekeeeeeetuuuuuaaaaaaaaa !
You promised never to quote ur rivals. I wonder whats getting down,.!!
Huh!
Huyo tom boy naye!!! Biashara imedoda kaamua aitangaze kabisaaa, kumbe hadi ukameroon anahusika nao!! Aiseee hili bao bora lingekuwa withdrawn
So what do you want:what::what::what:
Get a life hater and get the hell out of Kibas life.
So what do you want:what::what::what:
Get a life hater and get the hell out of Kibas life.
Kaja kuungana na data watanue biashara sasa huyu atakuwa sijui anammendea mwanaume gani humu ndan
Mimi sina timu kuna aina ya nyimbo napenda! Nazo ni kama hii chekecha cheketua....I love the song,huwa naongeza sauti ikipigwa redioni!
Teh teh teh, tushaidownload tunaicheki tu, anadhani na sie hatuna kazi eti tunakesha utube kushindania views!! Yaani hawa watu ni bogaz zaidi ya bogaz
Mwenyewe ninayo ya nini kuhangaika u tube sasa. Views nyingi sio kipimo cha ubora wa nyimbo. Kuna mkorea alivunja record YouTube kwa kuwa na views nyingi zaidi ya billion moja ina maana ni bora kuliko wasanii wote. Tatizo wabongo tunaishi kwa Ku cremisha vitu.
#chekechaCheketua .
Mimi sina timu kuna aina ya nyimbo napenda! Nazo ni kama hii chekecha cheketua....I love the song,huwa naongeza sauti ikipigwa redioni!
Safi sana shemeji japo hapa wewe sio shemeji maana mkeo kila uzi ana mume.
Keep on listening the good music.
Wew atoto ndo nini kunichochea kwa mume wangu adi sijaachiwa hela ya matumizi? Hujui naishi nae?
Nilikuwa sijajua kama wew ni wa kike.
Mimi sitaki ku quote wanaume ila wasichana kama wew na quote tuu
huh! U cant avoid me.. Sema usikike. PM is open.