Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Attachments

  • 1436114990845.jpg
    1436114990845.jpg
    49.7 KB · Views: 88
Last edited by a moderator:
Sasa na yeye anafuata nyao ambazo miezi miwili iliyopita mlikuwa mnapinga. Acheni double standards vilaza.
 
Sasa na yeye anafuata nyao ambazo miezi miwili iliyopita mlikuwa mnapinga. Acheni double standards vilaza.

Kiba hana majigambo bana, hawez waambia mashabik wake kuwa sasa naogea sink la silver, anajua fans wake ni kina nani, domo kanyooka siku hizi ile uswahili wake wa kuponda mashabiki kaachaacha na kupost mashelf ya kichina jikon kaacha. Hahhahaa kiba anapost kazi tu sio kuonyesha sufuria analopikia n.k.
Halafu KILAZA WE MWENYEWE NDOOOOOROOOBO WEWE
 
Kiba hana majigambo bana, hawez waambia mashabik wake kuwa sasa naogea sink la silver, anajua fans wake ni kina nani, domo kanyooka siku hizi ile uswahili wake wa kuponda mashabiki kaachaacha na kupost mashelf ya kichina jikon kaacha. Hahhahaa kiba anapost kazi tu sio kuonyesha sufuria analopikia n.k.
Halafu KILAZA WE MWENYEWE NDOOOOOROOOBO WEWE

hawa jamaa wanakuwa kama magash yani sijui ipoje aisee
 
Dai mswahili akiweka picha mpaka atupiemo kadongo sijui tumwone ngariba bla bla bla

hana akili yule kuna siku alimuandikia zari mipasho ya kiswahili hawezi kujizuia na anablock watu ila kiba hafanyi hiyo kitu na wanamtukana sanaa kiba ila hablock mtu
 
hana akili yule kuna siku alimuandikia zari mipasho ya kiswahili hawezi kujizuia na anablock watu ila kiba hafanyi hiyo kitu na wanamtukana sanaa kiba ila hablock mtu

Nimeskia video ya joh makin ya nusunusu imeshika namba moja mtv. Jamaa katoboa mwenyewe kimataifa bila kutegemea nigeria kama kina mwanafulani hapo tandale.
 
Nimeskia video ya joh makin ya nusunusu imeshika namba moja mtv. Jamaa katoboa mwenyewe kimataifa bila kutegemea nigeria kama kina mwanafulani hapo tandale.

sio huyo tu kuna dogo anaitwa baraka the prince (siachani nawe) katoboa mwenyewe na kichupa chake na director hanscana sio mpaka collabo na wanija hivyo ndo tunavyotaka sio unaiga waniger
 
aisee we unanitaka hao kina kilimbamula malizaneni nao huko pm aisee kwani mumewafanyaje mpaka wanakuja huku mara kwa mara ??

Huyu kilimbamula ni mara ya kwanza kukutana naye, nilijua kakosea njia so inabidi aelekezwe
 
Last edited by a moderator:
Huyu kilimbamula ni mara ya kwanza kukutana naye, nilijua kakosea njia so inabidi aelekezwe

sio mara ya kwanza kazoea ila mpotezee tu si umeona katulia hamna mtu aliye mjibu hata kiba katoboa mwenyewe trace sio mpaka collabo ndo wanaipiga

aya chekecha chekecha ×11
 
hana akili yule kuna siku alimuandikia zari mipasho ya kiswahili hawezi kujizuia na anablock watu ila kiba hafanyi hiyo kitu na wanamtukana sanaa kiba ila hablock mtu

Uswahili unamsumbua kujibishana na mashabiki ni ujinga hivi hawajui mashabiki wakiacha kuwazungumzia ndo wanasahaulika. Huyo Zari na utu uzima hatumii akili kuna mmoja aliandika mi shabiki wa Kiba akamchamba sijui alifikiria nni.
Wa kina Wema, kidoti daily wanatukanwa lakini hawaonyeshi ujinga wao kuchambana na mashabiki.
Hyo ya kuvaa tena mashabiki walimwambia kiuzuri kuhusu uvaaji yeye kawaandikia mipasho.
Nampenda kiba anajiheshimu licha ya matusi na yote yeye hajibishana na kuweka mipasho. Yeye ana post mambo ya kazi yake tu.
 
Nimeskia video ya joh makin ya nusunusu imeshika namba moja mtv. Jamaa katoboa mwenyewe kimataifa bila kutegemea nigeria kama kina mwanafulani hapo tandale.

Ingekua ni flani sasa yeye ni wakimataifa blah blah kibao na show off kibao. Joh makini kanifurahisha kajitaidi mwenyewe na kafika hakuitaji kiki wala kutumia migongo ya watu.
#GoodJobKeepItUpJoh .
 
Back
Top Bottom