Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ebu kuja hubby wangu lol..iapo tuu ndio ninapokupendea... nilizani ungesema uje tu sankoro

Hii ndoa ina utata, huyo mwanaume siyooo...achana naye!
Teh teh teh😀😀😀😉
 
sio no 1 lakini ila najua sio kweli ile kampita hadi davido ok congratulation for him#teamkiba

Tofautisha kati ya mtu anayeTrend twitter Nigeria nchi ya watu milioni 150 na kenya yenye watu milioni 40.
 
Mhhhhhhhh sasa huyu King alikua wapi siku zote????????
Kasubiri wenzake wamekaa kwenye game eti "The king is back...

Ali Kiba tunajua una sauti nzuri ila you were having all the time hukuweza kutumia
usilazimishe kurudi kwa nguvu just let the nature do its course.. ni sawa na sa hizi
Afande Sele arudi aanze kusema "Mfalme wa Rhymes" nimerudi" Ni kitu hakiwezekani
Kila mfalme na wakati wake..

Tu wepesi wa kutoa kauli bila kujua ukweli wenyewe.
Wengi wanafikiri Alikiba karudi baada ya mafanikio ya kina Fulani.
Ally alikaa muda huo bila kuimba kutokana na mambo mengi sana msiyoyajua.Hugo Afande umfananishaye kaimba nyimbo nyingi sana ila hayupo pale alipokuwepo.
Aliitwa King na MTV na kaona aendelee kutumia hilo jina baada ya kurudi kwenye Sana'a.
Hivi hatujiulizi swali dogo tuu kuwa lini ROCKSTAR 4000 walimpa mkataba? Na kama kupindi kile kwa nini alikaa kimya huku ana mkataba Mkubwa kama ule?
Kama kapewa mkataba juzi juzi amepewa kwa kazi zipi?
Nadhani tukijiuliza maswali haya tutaelewa kw mini Ally yupo vile na anafanya akifanyacho.
Kama unapenda kazi zake msapot kama hupendi usiwafanye wanaosapot wasimsapoti.
Ungeijua mwana kama angecha muziki? Basi ujue kuna vingi vizuri huvijui
 
Mkuu m nilisema naipa siku 12 then tu conclude. I cant imagine adi sahvi haijafika hata laki5. OMG

nyie watu wanafiki sana. sometimes mnajifanya mnataka peace kumbe hamna lolote. hamna point kabisa. suburieni mconclude
 
Soo bad... Afu we Avemaria ukoje wewe?? Mbona mchonganishi hivoo

""Tenda wema nenda zako
Usingojee malipo
Hii dunia sio yako, k...""

Am out

Ebu hukooo usinitie najisi mie!
Katakaswe kwanza ndo uje ulitaje jina langu
 
Last edited by a moderator:
nyie watu wanafiki sana. sometimes mnajifanya mnataka peace kumbe hamna lolote. hamna point kabisa. suburieni mconclude

Nitake peace kwani tumegombana?. Its just being a fan of Diamond and am not a hater to Kiba never be. Bt I like to do some comparison btn thm thats all. so cwez kuomba peace kuna ugomvi kwani? We r all fan of wat we love wat we belive..
 
Nitake peace kwani tumegombana?. Its just being a fan of Diamond and am not a hater to Kiba never be. Bt I like to do some comparison btn thm thats all. so cwez kuomba peace kuna ugomvi kwani? We r all fan of wat we love wat we belive..

acha unafiki wewe naona sana comments zako. leo unajifanya sio hater. kwanini ufanye comparison kati ya kiba na mondi. tumeshawazoea nyie.
 
Back
Top Bottom