usijal nimeacha my sister cute b
Alafu mkuu sema nime blok pm nina ishu na wew nitatafuta namna ya kukupm tuu
Last edited by a moderator:
usijal nimeacha my sister cute b
Nashangaaa kumpenda Kiba imekua crime kubwa sana. Huyo aliyekuuliza Kiba kakupa nini alikua anafikiria nini? Kiba nimpendeacho ni mziki mzuri, na sauti ya kumtoa nyoka pangoni.
Kiba atawasumbua bureee si ndo tunavompenda hvo alivo.
Alafu mkuu sema nime blok pm nina ishu na wew nitatafuta namna ya kukupm tuu
Waendelee tu kufuta comments jukwaa limekua na mambo ya ajabu hili hata halinogi. Yani huku celeb kinachonifanya nitie timu ni uu Uzi wa Kiba tu sasa ka wanafta na comments mbona majanga yakufukuza watu tena.Wanaanzaje kuacha kufuta sasa.
Yaan mimi sina hamu ata na celebrity
Acha wafute, ni comments tu not our love to the King maana hilo hawana uwezo naloOyaaa madetective vipiiii?!!
Tunataka tumjue huyo moderator mfuta comments. Nina hasira nae manineeeer!!
Yaani nashindwa hata kukoment vitu vingine!
Hivi kafuta tena comments ngoja nicheki. Kinachomfanya awe anafuta nini utoto mwingine bwana.
Kuwa na adabu mtoto. Usidhani wote vikanu mjoko ka wewe.
Acha wafute, ni comments tu not our love to the King maana hilo hawana uwezo nalo
Mishahara midogo stress tupu, ndio hasira wanamalizia humu.
Hawa sijui vipi wana bore sana yani huku celebrity uu Uzi ndo unanifanya nipitie huku.
Sasa mishahara yao kiduchu ndo watuftie comments zetu.
Umewahi kumuona ananuka mkojo??? Yawezekana wewe ndio mnuka mkojo
Umewahi kumuona ananuka mkojo??? Yawezekana wewe ndio mnuka mkojo
Umewahi kumuona ananuka mkojo??? Yawezekana wewe ndio mnuka mkojo
Nawapenda sana wote, wiki ijayo nitaanza kuwa free mtafurahi wenyewe ndani ya thread hii.
Acha kiherehere. Hujaitwa.
Ungeitwa je?
Hilo ni mazwafantwa ni limbululaz linatafuta tuu kick dia hamna cha zaidi.
Lina hamu nili quote nalipotezea basi ndo linaji commentisha ili tulijibu.
Yani wewe niliku miss sana huku JF uliadimika sana, usiwe unapotea sana.
Uwa anajifanya mjuaji sana uyo
Mumitho majukumu siunajua tena yale mambo yetu ila mis you sana
Linajifanya kweli lijuaji kumbe ni kibuyu tuu na ndo lijinga jf nzima mbona inajulikana....
Hahahaa ana ki broken nglish chaki mweee akianza kukiongea utazani mtoto wa pre.