Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

yani nasema hivi hili bifu haliwezi kuisha daimaa nakumbuka hata zito kabwe alishindwa kuwapatanisha kwenye kigoma all star sasa who can ruge hawezi mpaka ye mwenyewe apatane na jide kwanza ndo awapatanishe domo na kiba

Kwan kiba n diamond wana bifu :what:
 
tatizo nyie mnaboa kama vipi ongea na wenzako wawe na heshima walimtukana ndo maana wenzako xo waambie wapunguze matusi na cc ni binadamu one love cute b i will tell her
Ati na usimpotezee wakati cute b kwa kumwambia shudu kama hizo.Muda mwingi sana mazee tulikaa kimya hapa tukawa tunachat wenyewe kuepuka ugomvi na kelele ziso tija....hawakuona ule wakati ivo wakajaribu kumake peace? Si walikuwa wanahorojoka hawa kuwa tumewaogopa sijui tumewakimbia.....leo one love inatoka wapi? Unless mkutane kwengine sio kwa Kiba
 
Last edited by a moderator:
Ati na usimpotezee wakati cute b kwa kumwambia shudu kama hizo.Muda mwingi sana mazee tulikaa kimya hapa tukawa tunachat wenyewe kuepuka ugomvi na kelele ziso tija....hawakuona ule wakati ivo wakajaribu kumake peace? Si walikuwa wanahorojoka hawa kuwa tumewaogopa sijui tumewakimbia.....leo one love inatoka wapi? Unless mkutane kwengine sio kwa Kiba
Dia nashukuru umeliona hilo. Iyo peac wanayoiongelea sijui ni ya nchi gani. Kwa mfano tangu juzi wana ni quote shombo siwajibu wakaona nimekuwa sugu wakaanza kuni mention ni uchokozi tuuu huo. Na kuna lingine kwenye uzi flan humu "unataman kutoka na nani humu jf" likanimention "eti cute b napenda sana maneno yake" .na wakati linanisemaga kila kona kuwa mimi ni chokoraa nina tatizo kwenye malezi alafu kule anajisemesha tuu kuona nitasemaje.
Nilicho gundua hawa watu sio ushabiki tuu na unafik na chuki binafsi wanazo bila haya li jitu likikukuta kwenye nyuzi nyingine yanaendeleza ushabiki basi tuu kwa ajili anajua wew ni team flan.
Hamna cha one love wala two love huyo ni mnafiki tuu na kusema kweli NAMCHUKIA KWAMA IBILISI YAAN NIKIKUTA ATA ANALIWA NA FISI NITAMSAIDIA KUMPAKA MAFUTA ILI ALIWE VIZURI.
 
Last edited by a moderator:
Dia nashukuru umeliona hilo. Iyo peac wanayoiongelea sijui ni ya nchi gani. Kwa mfano tangu juzi wana ni quote shombo siwajibu wakaona nimekuwa sugu wakaanza kuni mention ni uchokozi tuuu huo. Na kuna lingine kwenye uzi flan humu "unataman kutoka na nani humu jf" likanimention "eti cute b napenda sana maneno yake" .na wakati linanisemaga kila kona kuwa mimi ni chokoraa nina tatizo kwenye malezi alafu kule anajisemesha tuu kuona nitasemaje.
Nilicho gundua hawa watu sio ushabiki tuu na unafik na chuki binafsi wanazo bila haya li jitu likikukuta kwenye nyuzi nyingine yanaendeleza ushabiki basi tuu kwa ajili anajua wew ni team flan.
Hamna cha one love wala two love huyo ni mnafiki tuu na kusema kweli NAMCHUKIA KWAMA IBILISI YAAN NIKIKUTA ATA ANALIWA NA FISI NITAMSAIDIA KUMPAKA MAFUTA ILI ALIWE VIZURI.

Soo bad... Afu we Avemaria ukoje wewe?? Mbona mchonganishi hivoo

""Tenda wema nenda zako
Usingojee malipo
Hii dunia sio yako, k...""

Am out
 
Last edited by a moderator:
kibaridi kipo. umevaa sweta?

Nimevaa mkuu ila sasa la sare za kazini ni vyepesi haswa na haturuhusiw kuvaa ya nyumban.
Vip ulimwangalia king jana? Mimi sikulipia kng'amuzi so sijui ata aliongea nini
 
Nimevaa mkuu ila sasa la sare za kazini ni vyepesi haswa na haturuhusiw kuvaa ya nyumban.
Vip ulimwangalia king jana? Mimi sikulipia kng'amuzi so sijui ata aliongea nini

pole sana. sikumuangalia labda tumuulize pwilo jana nilirudi home late sana
 
Last edited by a moderator:
Ati na usimpotezee wakati cute b kwa kumwambia shudu kama hizo.Muda mwingi sana mazee tulikaa kimya hapa tukawa tunachat wenyewe kuepuka ugomvi na kelele ziso tija....hawakuona ule wakati ivo wakajaribu kumake peace? Si walikuwa wanahorojoka hawa kuwa tumewaogopa sijui tumewakimbia.....leo one love inatoka wapi? Unless mkutane kwengine sio kwa Kiba

huyu kaomba msamaha na soon atajiunga na timu kiba mi mbona sina mda nao labda wafanye kama hivi ila siwez nikakaa nikabishana na hawa punguani sawa Avemaria msimamo wetu ule ule sawa cute b atoto unanitaka
 
Last edited by a moderator:
Dia nashukuru umeliona hilo. Iyo peac wanayoiongelea sijui ni ya nchi gani. Kwa mfano tangu juzi wana ni quote shombo siwajibu wakaona nimekuwa sugu wakaanza kuni mention ni uchokozi tuuu huo. Na kuna lingine kwenye uzi flan humu "unataman kutoka na nani humu jf" likanimention "eti cute b napenda sana maneno yake" .na wakati linanisemaga kila kona kuwa mimi ni chokoraa nina tatizo kwenye malezi alafu kule anajisemesha tuu kuona nitasemaje.
Nilicho gundua hawa watu sio ushabiki tuu na unafik na chuki binafsi wanazo bila haya li jitu likikukuta kwenye nyuzi nyingine yanaendeleza ushabiki basi tuu kwa ajili anajua wew ni team flan.
Hamna cha one love wala two love huyo ni mnafiki tuu na kusema kweli NAMCHUKIA KWAMA IBILISI YAAN NIKIKUTA ATA ANALIWA NA FISI NITAMSAIDIA KUMPAKA MAFUTA ILI ALIWE VIZURI.

hahaa basi cute b labda hamkunielewa mi mwenyewe nina hasira nao walinitukana ila nilichogundua wanampenda sana kiba lakin wataanzaje kujiunga humu wamejaribu kututenganisha na njia zote wameshindwa xo msimamo wetu ule ule sawa cute b yah
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom