Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,292
ah sasa usiombe aimbe kingereza utajuta ila yule jamaa mwingine akiimba maneno hayatoki
Hahaaaa hii lugha ya malkia ni shida jamani bora kuimba tu kiswahili mana wengine wakiimba hawasikii maneno wanang'ata balaa hadi ulimi.