Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ewaaaaa! Hapo sasa lazima atakuwa amepata cha kujifunza kwakweli, km sio basi tena!!

Bogus tu ka wengine eti timu ya pili suahamie huko sasa aje na I'd yake iliyozoeleka sio hii. Tena akome kuleta mizivu ka steel wire ya mchina kwenye uu Uzi.
Ngoja mie nichekechue zangu.
 
Bogus tu ka wengine eti timu ya pili suahamie huko sasa aje na I'd yake iliyozoeleka sio hii. Tena akome kuleta mizivu ka steel wire ya mchina kwenye uu Uzi.
Ngoja mie nichekechue zangu.

Alafu utadhani ni mayai, wana akili zinafanana kweli, alafu walisema hatuna elimu sasa wanafikiri hata kufikiria kitu kidogo km hicho tutashindwa.

Ye acheketue tu maana hamna namna.
 
Now yo speaking their language lazima atakuwa amepata cha kujifunza hapo.

Mtu anaye criticize kitu its obvious huwa anakuja na wazo nini kifanyike. Sio anaandika IPP(International, Pumba Point) kwa unafiki. Le mbulularazi.
 
Huyo mmoja namfahamu kafanana na KIBA balaaa aisee huilizi wala haina shida ya DNA hapo. Hao wengine siwajui.

yap mtoto wa king wa roma na wa marlow wa kwanza kushoto kati roma they are friend
 

Attachments

  • 1435949618429.jpg
    1435949618429.jpg
    70.1 KB · Views: 64
Mtu anaye criticize kitu its obvious huwa anakuja na wazo nini kifanyike. Sio anaandika IPP(International, Pumba Point) kwa unafiki. Le mbulularazi.

She shud hv said, ni nini anataka ajifunze kwanza, na km anaona hakuna cha kujifunza si basi apite vileeeee, kwani kashikiwa mtutu.

Aisee nimekumbuka i sent u pm nikakuta geti ila wory out problem allready solved.
 
Hahaaaa that's my cute b wamekuzoea vibaya eeeh. Wakukome kabisa. Hahaaa ka namuona huko aliko USO ulivomshuka na msawagiko wa hatari.

Anikome na akomae asinizoee.
Ana nimention mention ananijua? Apeleke ugonjwa wake wa kifafa huko kwa team ndomo.
Mambo mamy
 
Last edited by a moderator:
yap mtoto wa king wa roma na wa marlow wa kwanza kushoto kati roma they are friend

Hiyo ilikuwa muda gani? Safi sana King, keep going mie heart yu much much much
 
Nimegundua humu ndani watu wanakesha kwenye huu uzi na hakuna cha maana wanachoandika tofaut na kule upande wa pili at least unawezajifinza kitu......Badiliken jaman wengine hatuna team tunaingia ili kujifunza kutokana na comments zenu.....Nampa gwala Abou Seydou anaandika vitu ambavyo ukivipitia hutok kapa.
Ni hayo tu jamani msijenge chuki ni mtizamo wangu tu.

hao wanaochangia ujinga wote ni team diamond team kiba hatupo toka asubuhi ndo tumeanza kujadili sasa hivi nakama huna cha kujifunza nenda kwenye uzi wa domo ukajifunze kule we mwenyewe team domo hfu unajifanya huna team
 
Nimegundua humu ndani watu wanakesha kwenye huu uzi na hakuna cha maana wanachoandika tofaut na kule upande wa pili at least unawezajifinza kitu......Badiliken jaman wengine hatuna team tunaingia ili kujifunza kutokana na comments zenu.....Nampa gwala Abou Seydou anaandika vitu ambavyo ukivipitia hutok kapa.
Ni hayo tu jamani msijenge chuki ni mtizamo wangu tu.

kwahiyo team diamond wana akili wangeanzisha uzi et kwa nn kiba hamfollow mtu insta hizo ni akili au we ndo unayefuta coment nn nyambaaaafuuuu pita kuleee
 
Back
Top Bottom