Ali Kiba Fans' Special Thread...


Kumbe na wewe umo kwenye list!!! We ulimbania kwa nani? Basi huyu binti si bure ana matatizo makubwa aisee, na sehemu anazofanyiaga biashara zake anazitaje kabisaaa sijui ili wamfuate huko!! Nami nimeingia kwenye list leo, mbona atawamaliza kiba fans, cute b hebu ongea na huyo shost yako, mwambie hakuna mnunuzi humu, anatuchukia wanawake wenzie kisa nini!!
 
Last edited by a moderator:

Haramu wenzie ndo saizi yake kabisa ili wamupelepwete vizuri. Sie si type yake akawatafte wanaoendana naye na Ku share same status ya matusi. Hii ni ze #RoyalFamilyTunajiheshimuSana .
#ChekechaCheketuaMwanzoMwenga .
#TeamKibaForeverOneLove .
 
Woooiiii wenye njaa wasaidieni hata masalo ya futari kama namuona vile mwafulani anavyosonya!!!

Tena boonge la sonyo, na hivyo ana wivu na sisi maana anaona tunambania biashara yake!!!

Hayaaa chekecha cheketuaaaaa
 

Hahaaaaaa huyu ni shiiigida sana tu kujifanya kunichukia hadi kuni mention kwingine eti minywele nywele atajibeba anahitaji mtaalamu aisee na wewe umeongezeka kwenye list.
 
Last edited by a moderator:
Baada ya kuona biashara imemdodea binti akajidai eti yeye mwanaume, hahahaaaaaa anawajua wanaume kweli huyu!!! Akafie mbali huko hakuna mnunuzi humu, kadodajeee hadi huruma yaani.
Hahahaaa ndo basi tena masikini pole yake!
 
Hahaaaaaa huyu ni shiiigida sana tu kujifanya kunichukia hadi kuni mention kwingine eti minywele nywele atajibeba anahitaji mtaalamu aisee na wewe umeongezeka kwenye list.

Khaaaaah!! Na huyo mtaalamu labda awe gwajima, maana itabidi aanze kuombe ule uharamu alafu ndio roho mbaya ifuate!!!
 
Yaani nikiwa nacheza ile night scene na king, kimada kama huyu akijipitisha namvuta nyuma ya nyumba kisha namgegeda, halafu namtatua marinda kabisa pumbaaav
#JFsioYAmamaYAKO
 
Hahahaaa ndo basi tena masikini pole yake!

Pole kama kidogo sasa!!! Ana matatizo mazito mnooo, yaani sijui ni malezi au ni basi tu kukengeuka!!! Aende mmu kule limetolewa somo kwa vilegelege km yeye!! Humu hakuna haramu wenzie
 
Khaaaaah!! Na huyo mtaalamu labda awe gwajima, maana itabidi aanze kuombe ule uharamu alafu ndio roho mbaya ifuate!!!

Hahaaaaa mtaalumu Gwajima nitamtafta aje kuwaombea aisee. In Gwajimaz voice peeeeepo tokraaaaaaaa ushindwe na ulegrereeeeee.
 
Endelea nao. Safi.
 
Last edited by a moderator:
Yaani nikiwa nacheza ile night scene na king, kimada kama huyu akijipitisha namvuta nyuma ya nyumba kisha namgegeda, halafu namtatua marinda kabisa pumbaaav
#JFsioYAmamaYAKO

Hahahaaaaaa!!! Wewe umemaliza aiseee!! Biashara imemdodea anatafuta wa kufa naye!! Wanajifanya kuponda cheketua kumbe mijitu yenyewe viziwi, i wonder hata km kuona wanaona!!

#chekechavideovibes
 
You know in 😎 voice ze royal family tunajiheshimu mno that y I love this family.
Chekecha cheketuaaaaa in kibas voice.

Yaani tunacheketua kwa raha zetu, watu wamechekechwa hatari!!!
 
Hahaaaaa mtaalumu Gwajima nitamtafta aje kuwaombea aisee. In Gwajimaz voice peeeeepo tokraaaaaaaa ushindwe na ulegrereeeeee.

Ila haya mapepo yao yana viburiiiii sijui nayo yamekula maharage ya wapiiiii!!!

Pepo tokaaaaaaaaa!!!
 
Tatizo anazunguuuuukaaaaa kwanini asiwe muwazi tuu??!!!!Hahah #JFSiYaMamakoKama ni macho ya bluelight sema nini unatakaaaUwiiiiiii tukugeuze princess sema nini unatakaa??!

Hahahaaaaaa! Yaani umejua kunichekesha wewe!! Akuuu princess haramu hatakiwi kwa royal family, huoni alokuwa anamshobokea mwenyewe kamkimbia, nani anataka haramu labda!!
 
Kwakweli hii video ya Kiba sijisikii vizuri kuiangalia sana, inanipa machungu ni kwa nini nime-abandon kazi ambayo niliipenda sana na ndio iliyonifanya niwe nilipo leo.

Ipo siku nadhani tutayafanya haya kwetu ngoja ngoja kwanza tuyaondowe madarakani majinga ya kufikiri, nadhani mpaka leo bado hamjui kwa nini wengine hatutaki hata kuisikia nyinyiemu maana inauma sana daktari wa binadamu kulazimika kufanya kazi ya uhasibu kwa sababu taaluma yako haina thamani kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…