yule anacheza mbele ya duka ni noma amevaa nguo za blue hivi mweusi fulani hivi. bonge la video kwanza halichoshi kabisa. alikiba yupo simple sana hana makuu kabisa
Kweli mkuu yule dada ni shidaa .
yule anacheza mbele ya duka ni noma amevaa nguo za blue hivi mweusi fulani hivi. bonge la video kwanza halichoshi kabisa. alikiba yupo simple sana hana makuu kabisa
Akuuu kwa mdogo wangu lazima nikuzibie, usijenibemendea mdogo, mdogo mwenyewe ndio huyo tu wa pekee, abou mdogo wangu usidanganyike!
Kweli mkuu yule dada ni shidaa .
c umemuona kedrick huyoooo kaja na wenge lake #kazi kwako
Sidanganyiki
Kwanza kasema kiuno chake kimeundwa na misumari ya jahazi
Atanichoma bila malipo
Sidanganyiki
Kwanza kasema kiuno chake kimeundwa na misumari ya jahazi
Atanichoma bila malipo
nitamtafuta yule hahahaha. hii bonge la video ujue
Jamani kwani mimi nitambembenda abou?
Hahahaaaaa waache watoto wadogo waje kwangu msiwazuieeeee
unaambiwaje kiba hta kumkuta kapiga picha kwenye gari lake ni nadra saanaa hapendi show off
Hahahaaaaa!! Na kweli ni "its limit", wakiitwa genous nawe utapeleka hilo bichwa lako! Labda genous wa kuparamia na kukurupuka na kujipendekeza!
Ivi wale ni wa bondeni au bongo?
Kazana mkuu wangu bhana usiachie vitu vitamu kama vile vipitee
Kwa mfano unaposema kujipendekeza unaweza kuniambia kwa kitu gani ambacho ni very unique unacho ambacho Mimi sina hahahahah l( labda mbunye na kichwa kichwa kiazi)
Siwezi kujipendeka kwa MTU dizaini yako uko too shallow , narrow thinking capacity , small- time ,uko too balanced hahahah , may be too ugly crone b.tch hhahahahh
Too
Labda muda huu pia una- post from ambiance streets hahahahh .
So far siwezi kujipendekeza kwa anonymous coz sikujui ( may be unaweza kuwq jini) so kwa nijipendekeze kwa jini hahahahahh
Wewe kujuana na watu wawili watatu humu ndani ndo unakupandisha mabega juu na kifua mbele hahahh #JFsiyababako
In terms of anonymity humu JF naweza kujipendeza labda kwa Invisible nisipigwe ban hahahahah
Mazafantazzz huna quality kiivyo mbaya zaidi nipo JF kabla yako( cheki join date)
Ukikasirika sanaaa endelea kuchetuka mpaka unye boga hahahahahah
So sad!!!
Hahahahahahahah
Ova and out.
wa kule kule. nifanye mchakato
hahaha atoto nae atanisaidia.