Nimeshaelewa majirani zetu walikuwa wanataka video iweje.
Waliona zile clip za YouTube watu wakichekechua wakajua kiba ni boya kama domo.
Walitaka kiba akakodishe wachaza baikoko wacheze shombo kama kwenye ile video ya nasema nawe ya ndomo ili isichezwe kwenye media hahahaaaaaaa.
Nachekaga jaman huo wimbo kila nikikuta unachezwa lazma ukatizwe njiani maana hauna maadili.
Kiba umewaumbua watu maana walizan ivi wew ukaja ivi