Ali Kiba Fans' Special Thread...

YANI WEWE NA Matola mnaandika sana but making very little or NO POINT AT ALL.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaa!!! Uwiiii ndorobooooooo, limekufika hilo bibi weeee!! Eti profesional answer, si mlisema sie masikini hatuna elimu? Leo mnataka profesheno ansa kwetu!!!

Haya chekecha cheketuaaa chekecha chekatuaaaaa!!
Nimekupuza tu.

Coz ulidandia treni kwa mbele.

Utakandamizwaa!!!!

Kwa Leo tuishie hapa wahi kapate iftar magharibi maana swaumu imeingia hadi kwenye ubongo.

So far I lavyuu mpaka naumwazzzzz!!! U know I' m humbled- Mazigazi
 
Last edited by a moderator:
hahahahaaaaa ngoja nimsaidi@atoto huyu mtu alishasemaga hampendi nifah kisa aly k mwenzie akamjibu hivi"yupo kwenye mfungo"
hvyo bwana mazigazi km unasahau mi nakumbuka sana
nilikushangaa sana thar day kiukweli kabisa...

fake id zisikupe presha hvyoo

byeeee na karibu tena
 
Nimekupuza tu.

Coz ulidandia treni kwa mbele.

Utakandamizwaa!!!!

Kwa Leo tuishie hapa wahi kapate iftar magharibi maana swaumu imeingia hadi kwenye ubongo.

So far I lavyuu mpaka naumwazzzzz!!! U know I' m humbled- Mazigazi

Umenipuuza wakati umeniquote!! Like serious!!! Eti swaumu wht is that maybe?? Ulodandia treni hujioni au hujisomi uko wapi!!! Boguz!!!
 
Last edited by a moderator:
Unadhani wanashindwa!!! Walivyo boguz(in Matola's voice) hawashindwi kabisaaaaa!! They r very obsessed na Kiba na mapungufu yake, ovyooo kweli hii mijitu.

ila atoto mi nilishangaa sana nilivyoiona BUMBUM kwenye tuzo za mtv mama hadi leo sijapata jibu walitumia kigezo gani kuichagua????
 
Last edited by a moderator:
Mkuu yani hapo ilikuwa ni ku exchange contacts then anampa videos zake,, etc,etc. Sasa utashangaa huyu kijana wa kigoma atarejea na chekecho lake tu. Sad.
una matani mkuu, anyway hatuwezi jua Mungu mkubwa
 
YANI WEWE NA Matola mnaandika sana but making very little or NO POINT AT ALL.

Kwa taarifa yako kwa kanuni ya uandishi kuchanganya Caps ni dalili ya makelele, upper case na lower case zina kanuni yake katika uandishi.

Usipolitambuwa hilo kwanza ni nonsense at all whatever you shout here.

Argue don't shout.
 
Last edited by a moderator:

Yaani huyu bibie ni bongeee la ndoroboooo kwelikweli, lazima achukie huwezi jua alikuwa anamvizia Mdakuzi to her suprise akakuta nifah kamuwahi, sasa chuki inamtafuna tuuuu!! Unamchukia vipi mtu humjui? Boguz
 
Last edited by a moderator:
Kumbe ni kiswahili? Mie nilijua ni kimanyema mwenzangu!!

yah nana ni kiswahili labda sankoro ndo kikwao huko ila BUMBUM atoto hadi nashikwa na hasira BUMBUM sio nyimbo ile ila may b labda kamshirikisha iyanya wa kwao ila duh wanaona ya kiba tu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…