Khaahaaahaa nimeona Mdakuzi kawapa nondo
Lakini wanagwaya kuzielewa
Wanafurahisha sana
Suti zilikuwepo tangu karne zilizopita
Wao wameziona kwa Kiba tu 2015!!
Teh teh jamii forum kuna vioja
Najua lazima uwe happy ,
Nilikua maeneo ambayo hakuna network ya kuingia on social network ndiomana nimeadimika
Na ile style ya kurusha vibega kama kuku mwenye mdondo!
Style zake za kucheza very familiar...video zake very presictable.
Jamaniii mniwacheeee acheni niwe wa tofautiii
kitambaa mfukoni kama teja la kinondoni linataka kuiba ile sio video ni muvi ile nana
Yaani hawa watu ni vilaza plus plus, na ndicho walichotegemea wakione kwenye video ya king si unaona wanauliza mbona hawaoni viuno?? Hawajui kuwa king ana maadili hawezi fanya vitu vya kipuuzi hivyo,
tena umenikumbusha siku moja ofisini baba mmoja mtu mzima alikuwa anasimulia alivyoiona hiyo video ya taarabu ya ndomo bar mpaka akapaliwa na bia ikabidi ahame alipokuwa amekaa ili asiendelee kuiona, yaani aliilaani hatari. Mie i only saw it once na nikaikinai hapohapo.
Kiba ana fans wa rika zoteee so lazima ashirikishe ubongo anapofanya kitu, sio unakurupuka tu km unakimbizwa na kibaka.
et uzurizuri wako ya jux ilifungiwa ila nasema nawe imeacha kisa domo
style yake toka moyo wangu ndo ile ile nakujibinua kama gashi vile kumbe ni ......???
Najua lazima uwe happy ,
Nilikua maeneo ambayo hakuna network ya kuingia on social network ndiomana nimeadimika
kichwa maji kichwa nazi. hujielewi boya wewe
Boguz reply.
nimeingia kwenye page ya cocay cola ambapo kiba atakuwa live akijibu maswali... ndio post yenye comments na likes nyingi zaidi ktk page yao....afu wakija huku wanaponda akati wanamfuatilia chochote anachofanya.. nendeni fb mkaone page ya coca cola
hata trace pia alivunja recod likes na comment haijawahi tokea mkito alivunja recod pia ya cheketua ilivyotoka sema jamaaa mkimya sana that y ilove him
Tatizo hili pimbi kiba halijui kutumia fursa.
Hii kiba amejimaliza mwenyewe, video mbaya with poor quality. Kwa kweli anawapa taabu misukule yake kumbeba.
what misekule ????
Nyie watu mmeadimika leo.
Mambo zenu?