Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,484
Aaaah !! Una mzuka Wa kibedui
Chekecha
Na collabo je?
Hiyo chekecha to me is kinda expired.
Aaaah !! Una mzuka Wa kibedui
Chekecha
So what?
Tunajifanya kwa raha zetuuu! Karibu tuungane katika kujifanya kwetu hatuoni
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=873254
Ali Kiba ametimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi
Msijifanye hamuonii
Maana kwenye thread za diamond hua mnajaanutafikiri mnagawiwa pesa huhuhuuuuuhuuu king hana makazi jamani ule mchango Matola ule mchango tumungozee king apate makazi jamanii na ile timu yake ya mpira
We cute uliwanyima nini hawa watu??? Maana wasichana kwa wavulana wanakupapatikia hatari, sio bure kuna namna, sio vzr ulichowafanya wenzio haiwezekani wakuattack hivi hata usingizi hawalali wanakuwaza tuuuuu, utafanya watu wakane jinsia zao sasa!!!
Na collabo je?
Hiyo chekecha to me is kinda expired.
Hu huu huuuu😝😝😝😝😋😋😋😋😋😋😋
Next month mwishoni
Whaaat!!!
Sasa why kusema DoNe!
Bora ingekua surprise.Mpaka next month watu watakufa kwa kihoro humu ndani ujue
Mashankupe huwa hawana sababu ya msingi ujue! Ni kama nzi tu.
We cute uliwanyima nini hawa watu??? Maana wasichana kwa wavulana wanakupapatikia hatari, sio bure kuna namna, sio vzr ulichowafanya wenzio haiwezekani wakuattack hivi hata usingizi hawalali wanakuwaza tuuuuu, utafanya watu wakane jinsia zao sasa!!!
Mwone kwanza, ndio maana walikamata device yako usiingie jf.
Naona umekonda hapo
Yani incase hujajua, hapa jf mtu ana uhuru wa kuchangia habari yeyoteee bila hofu.
Vilevile huwezi kumlazimisha mtu achangie habari ambayo anaona hana cha kuchangia au hana interest nayo.
Zaidi itakuwa ni uchakubimbi wako tuuu...
Next month mwishoni
Mweeeh!! Aibu kwakweli, hv insta na fb zimefungwa??? Au ac za kuvamia inst zimeisha wameamua wahamie huku!!! Wao kila mahali ni kujivua tuuuu, usijali nina upako naendelea kuwaombea hilo pepo lazima liondoke
Whaaat!!!
Sasa why kusema DoNe!
Bora ingekua surprise.Mpaka next month watu watakufa kwa kihoro humu ndani ujue
Дабы с головой. Я очень тебя люблю
Mbona Mimi Jana nimeikuta familia yake pale ?
Ой! Ой! Блин!!! Ты точно меня любишь?
я так тебя люблю ... но вы попробуйте избегать меня, потому что я слишком грустно тонкий это?
Ради что ты влюблена!
Ngoja niondoke manake nishaanza kuchakachua uzi wenu.
Haaaaaa... cute b!! PM yako inafikika kirahisi? Мне же интересно блядь!
Дабы с головой. Я очень тебя люблю
Что делать, если я скажу, я тебя люблю в сексе?
Poa mkuu tutakutana kwenye nyuz nyingine.