Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Что делать, если я скажу, я тебя люблю в сексе?
Poa mkuu tutakutana kwenye nyuz nyingine.


Haaaaaa... cute b!! PM yako inafikika kirahisi? Мне же интересно блядь!
 
Last edited by a moderator:
Teeeeena wambie mama, wao na mioyo yao km moto wa mabua waugue pole tu, this is a true love to the true king

Ka Mioyo yao migumu mbona wana hangaika na Kiba daily asiye na kitu. Na kutafta ligi za vigodoro bila haya. No matter what Kiba ni best sana sijamjua juzi long time.
Wahangaike watajiju sie ndo hatusikii liwe na nini wala lile.
 
Haaaaaa... cute b!! PM yako inafikika kirahisi? Мне же интересно блядь!

Aaaah nimekufuma tena!! Umeanza tena eeeh au unadhani mie sina wivu??
 
Last edited by a moderator:
Ka Mioyo yao migumu mbona wana hangaika na Kiba daily asiye na kitu. Na kutafta ligi za vigodoro bila haya. No matter what Kiba ni best sana sijamjua juzi long time.
Wahangaike watajiju sie ndo hatusikii liwe na nini wala lile.

Ndo hapo chacha, hawa si walikubaliana kutomtaja kiba tena??? Au makubaliano yao nayo huwa km mioyo yao???
 
Leo kwenye count down za Milad Ayo alizungumza na Ali Kiba. Kiba alianza kwa kuwashuru mashabiki wema ambao wanamjengea heshima bila matusi. Kisha akasema yapo mazoba yanayopika majungu kwenye mitandao na kutengeneza chuki. Alimaanisha mazoba ya humu, nilimuelewa vema.

Amesema hana ugomvi na msanii yoyote ila mashetani na magazeti yanamzulia uongo.

Nyie mnaikesha kuandika habari za chuki humu jukwaani nendeni shule, hayo ma division V yenu na biashara ya mbunye havitawasaidi. Nendeni shule nyie.
 
Aaaah nimekufuma tena!! Umeanza tena eeeh au unadhani mie sina wivu??


Jasiri haachi asili ujuwe! Nina mpango wa kuanza na wewe.. Nimehamasika sana ujue..!

Nimechakachua uzi wenu..sorry!
 
Leo kwenye count down za Milad Ayo alizungumza na Ali Kiba. Kiba alianza kwa kuwashuru mashabiki wema ambao wanamjengea heshima bila matusi. Kisha akasema yapo mazoba yanayopika majungu kwenye mitandao na kutengeneza chuki. Alimaanisha mazoba ya humu, nilimuelewa vema.

Amesema hana ugomvi na msanii yoyote ila mashetani na magazeti yanamzulia uongo.

Nyie mnaikesha kuandika habari za chuki humu jukwaani nendeni shule, hayo ma division V yenu na biashara ya mbunye havitawasaidi. Nendeni shule nyie.

You need deliverance mda wote wewe unawaza chuki tu na kuonewa wivu. Hujioni kuwa una tatizo la kisaikolojia la kuwaza chuki na negative issues.
Nani anakesha kuandika chuki huku ka si wewe unayelalamika ka umetelekezwa.
Na wewe uza huo mtandao pendwa ka unafikiri kuuza kunalipa au ukifanyie kibamia chako ule mchezo uliouzoea.
Hahaaa wewe ka ulikimbia umande hujui hata uliandikalo zaidi ya chuki. Sio kila mtu anaye comment huku ni kilaza ka wewe uliyekosa hata division seven.
Mwenzako Niko masters pole sana gumegume wewe usiyejiamini.
#EducationIsSex
#ThinkOutOfTheBoxBelieveurself .
#BeARealManAndStopUsingUaKibamiaInThinking .
 
You need deliverance mda wote wewe unawaza chuki tu na kuonewa wivu. Hujioni kuwa una tatizo la kisaikolojia la kuwaza chuki na negative issues.
Nani anakesha kuandika chuki huku ka si wewe unayelalamika ka umetelekezwa.
Na wewe uza huo mtandao pendwa ka unafikiri kuuza kunalipa au ukifanyie kibamia chako ule mchezo uliouzoea.
Hahaaa wewe ka ulikimbia umande hujui hata uliandikalo zaidi ya chuki. Sio kila mtu anaye comment huku ni kilaza ka wewe uliyekosa hata division seven.
Mwenzako Niko masters pole sana gumegume wewe usiyejiamini.
#EducationIsSex
#ThinkOutOfTheBoxBelieveurself .
#BeARealManAndStopUsingUaKibamiaInThinking .

Heheheee huyo nae kaona ameandiiiiika!!
Looooh pole yake!

Eti div 5??!! Hahaha uwiiiii ebu nicheke mie.
Naona tunaongezewa sifa tu. Tchaaa rahajeee sasa!!!
Hauna mastaz we Diva Beyonce fanya tukajiunge pale Zoom magomeni walau tupate cheti cha usekretare au sio?!
 
Last edited by a moderator:
Mnamfatilia cute b akiwajibu mnamuuliza yeye ni nani mbona hamumjui?
Sijawahi kuona kibonzo cha member yeyote humu jf toka nijiunge ila naona cute b amewakaa katika fikra zenu na akili zenu.
Pongezi zako.

Nashukuru mamy umeliona ilo. Yaan wakilala cute b wakiamka cute b wakibadilisha id wakafungua nyuz ni cute b wakichora katun ni cute b. Ukiwauliza wanasema hawanijui lakini bado cute b ipo kichwani mwao.
Sijui wana matatizo gani hawa watu. Ina maana jf nzima wameniona mimi tuu? Eti libabu lizima linakaa chini linaacha kufanya mambo ya maana linakaa ku dezain katun ya cute b...
Ni ukosefu wa akili na maarifaa.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom