Tena washindweeeeee, duuuh nimeingiwa na upako ghafla.
Kwa kiba upako ni lazma hahahqaaa watu na mahaba yetu atiiii.
Ivi mamy geniveros ndo amefungiwa adi leo?
Last edited by a moderator:
Tena washindweeeeee, duuuh nimeingiwa na upako ghafla.
vote vote vote vote vote.....
Pumbafff
Karibu futari ha ha ha mmh ni vumbi ka poda bila shakaTeh teh..hili varangati nimeamua kuwa refa lakini mnatimua vumbi hata siwaoni...aaah! Nimepita tyuu...mimi ni #team-no-team ! Naomba kujitambulisha!..teh!
Teh teh..hili varangati nimeamua kuwa refa lakini mnatimua vumbi hata siwaoni...aaah! Nimepita tyuu...mimi ni #team-no-team ! Naomba kujitambulisha!..teh!
Eti mtu unajisifia kabisaaa eti wewe mshari, hivi una akili timamu kweli!!! Nitamtafuta gwajima afanye maombi maana pepo kigodoro anasumbua sn watu
Karibu futari ha ha ha mmh ni vumbi ka poda bila shaka
Yani nijisifu kama hiviiii
"Mimi ndio bingwa wa kunya kunya! Hunifikii kwa matusi, ntakutukana mpaka ukimbie jf, mimi bingwa wa kuchambwana! Nachambwa mpaka nahara! Huniwezi wewe mjingajinga! Nna matusi mapya na mazito! Kmamaaeee, kalale urudi utanikuta! Hapa ndio home kwangu!"
Kama hivi yani, afu napata tuzo ya heshima kwa niaba ya waheshimiwa!
Shem nimemfata my atoto., nimemmisi mbaya. Ila naona hapa sipawezi, mnatimua vumbi si kawaida...
Yani nijisifu kama hiviiii
"Mimi ndio bingwa wa kunya kunya! Hunifikii kwa matusi, ntakutukana mpaka ukimbie jf, mimi bingwa wa kuchambwana! Nachambwa mpaka nahara! Huniwezi wewe mjingajinga! Nna matusi mapya na mazito! Kmamaaeee, kalale urudi utanikuta! Hapa ndio home kwangu!"
Kama hivi yani, afu napata tuzo ya heshima kwa niaba ya waheshimiwa!
Usiniambie alipigwa ban!!! Mwe mwe mwe mweeeee, sijui niandamaneeee maana nimemmiss
We mtoto nitakuombeaaaa, hujui leo nina upako!! Teh teh teh teh
Дабы с головой. Я очень тебя люблюShem nimemfata my atoto., nimemmisi mbaya. Ila naona hapa sipawezi, mnatimua vumbi si kawaida...
Ndio mamy alipikwa ban ile siku ana argue na kimbley maskini wote wakapelekwa lupango nimewamisi sana jaman na Mrembo by Nature nae looh sijui wamepewa muda gani jaman na muuza njiwa nae.
Girl, huku nimepita ili nikuchum afu nisepe zangu. cute b kaniomba niondoke asap, mimi ni #team-no-team ...
Sasa hapa nilikua natoa mfano wa kujigamba teh teh!
Tuwape ushindi tuuu
Hatuwawezi nakwambia.