Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Jamani mna kesi ya kujibu huko nje, mbona mnajifungia huku.

Kesi gani? Nje wapi? Kesi ya nani sasa, kwani kuna mtu ameibiwa tuzo? Au kuna watu ulevi wa kilimanjaro tangu siku ya tuzo adi leo upo kichwani.
Basi waambie wasigombane ovyo tuzo haikuwa bahati yao waache kulia lia mimi nipo bize sitaweza kufika huko kwenye kesi kwa leo.
NA UACHE USHANKUPE. Mtu mzima hovyooo
 
Nashukuru mamy umeliona ilo. Yaan wakilala cute b wakiamka cute b wakibadilisha id wakafungua nyuz ni cute b wakichora katun ni cute b. Ukiwauliza wanasema hawanijui lakini bado cute b ipo kichwani mwao.
Sijui wana matatizo gani hawa watu. Ina maana jf nzima wameniona mimi tuu? Eti libabu lizima linakaa chini linaacha kufanya mambo ya maana linakaa ku dezain katun ya cute b...
Ni ukosefu wa akili na maarifaa.

Watakuwa wana kuadmire.
Wewe ni mzungu?
 
Kesi gani? Nje wapi? Kesi ya nani sasa, kwani kuna mtu ameibiwa tuzo? Au kuna watu ulevi wa kilimanjaro tangu siku ya tuzo adi leo upo kichwani.
Basi waambie wasigombane ovyo tuzo haikuwa bahati yao waache kulia lia mimi nipo bize sitaweza kufika huko kwenye kesi kwa leo.
NA UACHE USHANKUPE. Mtu mzima hovyooo

Huyu naye Shankupe material tu.
Anatafuta sababu.
 
Nashukuru mamy umeliona ilo. Yaan wakilala cute b wakiamka cute b wakibadilisha id wakafungua nyuz ni cute b wakichora katun ni cute b. Ukiwauliza wanasema hawanijui lakini bado cute b ipo kichwani mwao.
Sijui wana matatizo gani hawa watu. Ina maana jf nzima wameniona mimi tuu? Eti libabu lizima linakaa chini linaacha kufanya mambo ya maana linakaa ku dezain katun ya cute b...
Ni ukosefu wa akili na maarifaa.

We cute uliwanyima nini hawa watu??? Maana wasichana kwa wavulana wanakupapatikia hatari, sio bure kuna namna, sio vzr ulichowafanya wenzio haiwezekani wakuattack hivi hata usingizi hawalali wanakuwaza tuuuuu, utafanya watu wakane jinsia zao sasa!!!
 
Back
Top Bottom