Ali Kiba Fans' Special Thread...


Mbona tunatoa ushauri humu we r all 2wen t become to series issue haha bt jokes sometmz. I wish kiba angesikia the way mnavyomwambia amna anayependa wasanii wetu wabaki chini cz thy rep Tz flag out thre.
 
Last edited by a moderator:

very true i catch ur point sasa watu wanabisha et ilkuwa ? #kebekebe
 

+Mkuu naomba niingilie kidogo hii conversation yenu.

+umeeleza vizuri kua si jambo jema kulinganisha kila anachofanya Mondi basi na kiba afanye vilevile, lakini pia umeeleza kwamba mashabiki wa mondi wamekua wanakera sana kwa kumdharau na kumponda sana kiba, na hii imekua inawakera sana mpaka mkaamua kumvotia Davido.

+Hapo sawa lakini umebase upande mmoja, umesahau kua hata nyie pia huwa mnaponda sana na kumdharau Mondi, unadhani nyinyi huwa hamuwaudhi mashabiki wa Mondi?

+sasa kama sababu ni madongo na dharau za mashabiki wa mondi kwa kiba ndo zinawafanya mumvotie Davido, its okey. sasa Mungu si Athumani siku kiba kawa nominated tuzo za kimataifa kwa hiyo una maana team mond wasusie kumvotia Kiba simply bcoz mashabiki wa Kiba huwa wanawakera sana kwa madongo yao na dharau dhidi ya Diamond?

+i hope kama utakua umeweka ushabiki pembeni utakua umenielewa hapa namaanisha nini.
 
Mkuu nauliza tu kujua...sio kwa ubaya...huenda kuna jambo kubwa na baya sana alilofanya diamond kustahili chuki hii...ningependa kujua

Hivi ni chuki gani mnayoiongelea labda mimi kuna kitu sijaelewa?
 

Hilo swali hapo mwisho unaliuliza kweli??? Like srious!!! Hivi ni hawahawa wa siku zote ndio unaongea nao au kuna wapya??? Hongera
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni chuki gani mnayoiongelea labda mimi kuna kitu sijaelewa?

Hili balaa lote alilileta ndomo kwa misifa yake ya kijinga jinga na hakomi tu!! Alafu watu bado wanamtetea, uwiiii mie i kanti jamani. Kila la kherini ktk hilo.
 

Huyo freeland hujamfahamu side b yake...
 
Last edited by a moderator:
Hili balaa lote alilileta ndomo kwa misifa yake ya kijinga jinga na hakomi tu!! Alafu watu bado wanamtetea, uwiiii mie i kanti jamani. Kila la kherini ktk hilo.

kwanini "ndomo" unashindwa kumuita chibu au mond?
 

Mkuu.....nimemkubali sana cute b at least mnaweza kujadiliana nae kitu mkaelewana

Kwa ujumla wake haya mambo ya vitimbi yanafanywa na pande zote mbili...Na hayana umuhimu wowote

Kitakachotokea hakuna atakaeenda mbele.....Matokeo yake ni kuumia kama Tanzania...kwa sababu jina letu halitatajwa tena...Aghalabu lilianza kutajwa katika muziki

Labda tutabaki Big brother
 
Last edited by a moderator:
Hilo swali hapo mwisho unaliuliza kweli??? Like srious!!! Hivi ni hawahawa wa siku zote ndio unaongea nao au kuna wapya??? Hongera

Huyo Freeland alotuita malaya, kisa tunapingana nao, huyo freeland anayetukanaga kama mbwia unga?
Nakumbuka nilimjibu kama mimi malaya nimewavuruga kuanzia yeye, babake na babu yake....
Vitu vingine sio rahisi kusahau.
Leo anamquote malaya sasa sijui anataka huduma?
 
Last edited by a moderator:
Freeland siyo Celebrity mama...Tujadili ma Celebrity...Mimi majukwaa yote humu JF hua na comment ...inategemeana tu na mwelekeo wa mjadala...

Kwa iyo ukikuta watu wanajadili utumbo nawewe unajiunga?
Siku ule ulivoniquote kwa kunitusi ulikuta mjadala wa kunitusi?
Au kwa vile wewe ni bendera fuata upepo??
 

+Yeah ni kweli mkuu pande zote mbili zinahusika kupigana madongo na kutukanana.

+unajua mimi mwanzo nilikua najua hizo team ziko kwa ajili ya utani wa jadi tu kwa sababu sisi wabongo tumezoea kutaniana, lakini hii inshu imekua serious sana hata kwa jambo linalohitaji kuungana kwa hizi teams ili kuusogeza mbele mziki wa bongo.

.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…