Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Na mimi atanitambua ngoja nikapige picha na mabango asije akachezea akili zetu anajua ni jinsi gani tunatukanwa kwa ajili yake?
 
Kiba bhana anaboaaa unamuuliza vipi kideo lini jaman anajibu usijali sasa ndo nini?
Leo ni gambe tuu afu kesho nimesahau nahamia sport forum nikija huku nakuta na kideo tayari

Hahahaaaaaaa!! Sijui anashida gani aisee km uji wa magimbi
 
Dah kiba kama anapitia hapa basi atusikie fans wake, Tuzo 6 za Kill ni kick nzuri ya yeye kupandia kuelekea anga za kimataifa dah.. unatuangusha kiba thus why tunaonekana ni mahater tu.
 
Tumeshakinukisha huko huko instagram mpka meneja ake mmoja kanisaka

Niifute post niliyopost et nitamuharibia kiba

Sasa kama kashauriwa haelewi wanategemea watu wafanye nini? Acha tumharibie labda atachangamka, sijaingia ista leo kabisaa aisee, usiifute hadi na kiba aisome kulea hizi chongo mwisho wanakuwa vipofu.
 
tumsapoti wote bila kuchoka jamani#kebekebe

Wewe ukiendelea hivo utamkosesha Kiba fans wazuri tu.
Kwanza ukiwa unamfanyia massage mwambie anaboa kinyama nyama ila tunamvumilia.
Kama alikuwa hawezi hili gemu bora angestaafu akaendelea kuzaa akina unju wawe kama kumi ivi.
 
punguzeni hasira jamani pa1 tutafiki #tumshamri tusimtusi kingkiba %abuy4really1

Sasa pamoja tutafika wakati tupo mwanza mwnzetu yupo dodoma tena anakunywa chai!!! Hatumtusi tunampa ukweli ili abadilike tushamvumilia sn anadhani tuna shida sn ya kumshabikia, tz kuna wasanii wangapi, why tumchague yeye??? Ajiulize kisha achukue hatua
 
Back
Top Bottom