True kuna vitu hivi (kipaji na uzuri wa sauti) havina nafasi kabisaa, (nimefurahi mwanadada ninaemkubali zaidi beyonce amekiri hilo hapa juzi)
Ni sawa na mwandiko mzuri kwenye mtihani sio ishu kabisa, but for some personal reasons inakubeba kidogo saana..
Ndio maana ukijaribu kuangalia xfactor marekani kwa mfano, kama ni mara ya kwanza utasema daaah huyu dogo baada ya miaka mi5 atakuwa beyonce au chris brown something which is not there... Hata kwetu bongo madogo wanajitahidi saana na niwakali vibaya kwenye bongo star search but wakitoka hapo hamna kitu...
Tallent add something to your work, but determination and hardworking makes you unique in your own level kwa upande wa muziki...