Nakuja mami, agiza na mbuzi kilo moja.
Namna hii ukutane na mjinga mjinga anakuquote ujinga
Pwilo ananiuzi hajui tu
Tatizo ni Kiba
Na mijitu Fulani Mfano Wa Pwilo ambao wamemznguka
Et mtu anajipndekeza yy ajibu SMS
Kiba ni mzigo ambao soon nitautua
Kwani Kiba anashabikiwa na waislam pekee?
Basi aimbe qaswida tujue moja
unachokataa ni nini sasa wakati mi nimesema swaumu ipite au sijaelewa point yako sasa akitoa video c itakuwa swaumu imepita $kebekebe
Et mtu anajipndekeza yy ajibu SMS
Kiba ni mzigo ambao soon nitautua
Hahahaaaaa! Acha hizo mdogo wangu gambe likiisha je??
Tuendelee tu kumshtua huyu mtu wetu atastuka tu, hii management yake ya home ndio shida
Cabbo snoop alizngua mnafki tu na yy
Mara ya kwanza alishindwa kufika location kushut video alivyofika akasema awez kushut na akataka aongezewe dai kutoka m10 to 25 Kiba akachomoa kipindi icho kabbo ni hatari
Sasa Leo kachuja anakuja tena
Ila ningekua Mimi Kiba ningekubali ili niiteke Angola kwenye music industry
Hapana kuna mtu anaitwa Stanley enow yupo vizuri ni rapper na wanammeneji vizuri
Nafikiri anawania best collabo pale MTV awards
Tatizo Kiba ajiongezi anataka atafuniwe
Yani yupo kama kikongwe au mtu aliyepewa taraka
Cabbo snoop alizngua mnafki tu na yy
Mara ya kwanza alishindwa kufika location kushut video alivyofika akasema awez kushut na akataka aongezewe dai kutoka m10 to 25 Kiba akachomoa kipindi icho kabbo ni hatari
Sasa Leo kachuja anakuja tena
Ila ningekua Mimi Kiba ningekubali ili niiteke Angola kwenye music industry
Pumbaff
Am soree.
Sasa hapo unaona ni sifa au anajiroga?
Too much ego for What???
hapana ni mtazamo kwake yeye kama muislam #abuu99kiba
Hata kama walikua wanatania, alipaswa afanye biashara kwa kauli yao
Aisee.
Leo umenena...ila nikuulize ulufanikiwa kufanya naye mawasiliano yeyote?
Kiba bhana anaboaaa unamuuliza vipi kideo lini jaman anajibu usijali sasa ndo nini?
Leo ni gambe tuu afu kesho nimesahau nahamia sport forum nikija huku nakuta na kideo tayari