dah hawa team domo ni wavivu sana wakufikiria sasa shetta na ommydimpoz wamefanya collabo na wanigeria Kiba atashindwaje na yeye kufanya hajataka tu mwenyewe ila nigeria sio kimataifa na USA je ? domo kashindwa hata na Mayunga #yoooooooo
dah hawa team domo ni wavivu sana wakufikiria sasa shetta na ommydimpoz wamefanya collabo na wanigeria Kiba atashindwaje na yeye kufanya hajataka tu mwenyewe ila nigeria sio kimataifa na USA je ? domo kashindwa hata na Mayunga #yoooooooo
dah hawa team domo ni wavivu sana wakufikiria sasa shetta na ommydimpoz wamefanya collabo na wanigeria Kiba atashindwaje na yeye kufanya hajataka tu mwenyewe ila nigeria sio kimataifa na USA je ? domo kashindwa hata na Mayunga #yoooooooo
Uliituma wapi mpenzi? Sijaona lazima ningesharespond.
Kanifurahisha response yake kuna na ya yule nimemsahau jina kawaambia watoke kwenye page yake maana bila davido ndomo asingejulikana maana hakuna aloijua no.1 og kabla ya remix na davido, na akawaambia lazima ndomo aendelee kufanya colabo na wanaija. Duuuuh!!