Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,414
- 176,333
Full kuchambana hadi team moja itaomba poo ila team kiba mpo vizur hadi inteneshonoo wanakuja loko
Intaneshino my foot, for what!!! Hahahaaaaaa!!!
Full kuchambana hadi team moja itaomba poo ila team kiba mpo vizur hadi inteneshonoo wanakuja loko
Kweli wazalendo wana mambo, now wanahahaaaa kumtafutia Kiba baya ili aonekene mbaya ila waaaapi ndio kwanza wanazidi kujichafua na kujidhalilisha, mtoto wa watu hana habari anafanya yake tu like no body's business, chezea mr. Ambassador!!!
#iheartkiba
nilimuona mahali fulani, ananunua sarafu za 500 kwa 1500, yaani wamejaa ukanjanja tu!
Hahaaaaa na sehemu nyingine anauza phone. Huo ukanjanja wa Mr . njiwa kiboko aisee
Wana mambo kweli wazalendo wanajiona wako perfect mno. Yani wameshatafta kila baya Mara mbona ha follow watu mbona hapostiwi na maneno kibao.
Hahaa Kiba yuko kimya hana shida anafanya yake kimya kimya wengine wanabaki kupaniki tu.
Napenda hekima zake Kiba hajibu hovyo hyo ndo pona yake kuwa ignore wapuuzi ni njia bora kuliko kulumbana.
That's why namkubali Kiba hakurupuki hovyo safi sana Kiba.
Hahaaaaa na sehemu nyingine anauza phone. Huo ukanjanja wa Mr . njiwa kiboko aisee
Kuwa shabiki wa mtu anayejitambua rahaaaaaa!! Hana shobo za kishamba wala nn, he is just "a man" not a boy, kudoooos to him
Leo nimemuona kiba kariakoo anatafuta sarafu za mia 5 cjui ndo anachanga change ela ya kushoot video
Ndo mana na sababu zaidi ya billion kumkubali ana act kiutu uzima. He is matured enough keep it up Kiba.
Intaneshino my foot, for what!!! Hahahaaaaaa!!!
Ndo mana na sababu zaidi ya billion kumkubali ana act kiutu uzima. He is matured enough keep it up Kiba.
Teh teh teh teh jipoozea tu eeh.
Teh teh teh teh jipoozea tu eeh.
Diamond anawezaje Fanya media tour south Africa yaan anatembelea radio n TV tofauti diz guy iz international kweli aiseee mara merto FM, Mara kaya FM Mara ym FM ooh hadi channel o tv diamond shikamoo
Diamond anawezaje Fanya media tour south Africa yaan anatembelea radio n TV tofauti diz guy iz international kweli aiseee mara merto FM, Mara kaya FM Mara ym FM ooh hadi channel o tv diamond shikamoo
Nana trace tv nafasi ya 3.chekecha je?
ali kiba ana watoto watatu diamond je ? tuanze hapo halafu tutakuja kwenye mziki #Rockstar 4000 presents#one8 projects #Ambassador
I seeeeeeeeeeee!!
Kweli Dai kavurugwa, sasa media tour ya nini wakati ngoma zake zilishachuja tangu week ya kwanza ilipotoka? Eti south my foot!!!
Hahaaaaa hapo hata apakwe lami na huo mdomo mkubwa.😀😀😀😎