Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Na Nini na nini

unajua management ya kiba hawajui kiswahili labda waandike english ROCKSTAR 4000 PRESENTS wanafanya mambo kizungu co kama babu tale na fella hata wakimpa diomond saa wanatangaza kwenye media #Rockstar 4000 presents
 
unajua management ya kiba hawajui kiswahili labda waandike english ROCKSTAR 4000 PRESENTS wanafanya mambo kizungu co kama babu tale na fella hata wakimpa diomond saa wanatangaza kwenye media #Rockstar 4000 presents

Eeh vp n ile management yke after the middle finger walimtema nn
 
Ila jamaa wetu Kolabo ndio zinamtoa bila kolabo hana wimbo utakaoshindanishwa.Ndomo bila kolabo na Wanaija hana chakugombania tuzo wala nini.
 
Iyo label c ndo ya yule demu wa uingereza alie mpangishia nyumba k n mario

duh mkuu sio kweli kwa hiyo faly ipupa 2face cabo wote wapo chini ya huyo demu mana ROCKSTAR 4000 PRESENTS ndo ipo chini yao pia pamoja na kiba #Rockstar 4000 presents
 
Eeh vp n ile management yke after the middle finger walimtema nn

duh kweli wewe hujui muziki, After The Middle Finger ilikuwa brand yake mwenyewe ie: WCB, kabla hajasaini ROCKSTAR 4000
 
Ila jamaa wetu Kolabo ndio zinamtoa bila kolabo hana wimbo utakaoshindanishwa.Ndomo bila kolabo na Wanaija hana chakugombania tuzo wala nini.

Tuzo za channel o diamond alichukuwa tuzo 3 kupitia wimbo wa number one original version km ulikuwa ujui basi jua that y davido alimaindi
 
Nikitu kimoja tu. Kutofollow msanii mwenzake hata mmoja ndio kunasababisha watu kuto mpost yan very bad idea nani sijui alimshauri. Kwa sababu umpost Kiba wanini wakat hajakufollow it means hataona hata picha yko wala uliyompost. Ndio mana ilibidi amuombe Wema ampost lkn Wema kwa hiari yke walaaa asingejisumbua kumpost Kiba cz haina maana. Yan artist wana muignore kwenye social media kama haexist vile

Kila msanii ana life style lake na maamuzi yake kwani hao wanao postiwa waliongeza nini labda.
Artist gani kamu ignore kutoku postiwa haimaanishi watu wame kuignore posts nyingi huwa ni ka fashion tu.
Kizuri huwa chajiuza tu kikubwa msanii apendwe na watu wengi mioyoni ka kupostiwa ndo deal basi kila MTU angekua bilionare.
 
Ila jamaa wetu Kolabo ndio zinamtoa bila kolabo hana wimbo utakaoshindanishwa.Ndomo bila kolabo na Wanaija hana chakugombania tuzo wala nini.

Very true hizo ndo kishikio chake kashamaliza wote kwenye collaboration zake sasa inakua haina tofauti.
 
Kila msanii ana life style lake na maamuzi yake kwani hao wanao postiwa waliongeza nini labda.
Artist gani kamu ignore kutoku postiwa haimaanishi watu wame kuignore posts nyingi huwa ni ka fashion tu.
Kizuri huwa chajiuza tu kikubwa msanii apendwe na watu wengi mioyoni ka kupostiwa ndo deal basi kila MTU angekua bilionare.

Kupostiwa ni kama promo so usipo postiwa unakua kama haupo kwenye rotation dat y nikasema kama wanamu ignore tu. Hata alivyotoa ngoma ya cheketua ile cover yke ckuona wasanii wenzake wakishare. Hii itamuwia vigumu mana akitaka kupostiwa adi aombe
 
Kupostiwa ni kama promo so usipo postiwa unakua kama haupo kwenye rotation dat y nikasema kama wanamu ignore tu. Hata alivyotoa ngoma ya cheketua ile cover yke ckuona wasanii wenzake wakishare. Hii itamuwia vigumu mana akitaka kupostiwa adi aombe

It doesn't matter upostiwe au usipostiwe kitu kile kile tu mana MTU asipostiwa kwenye kitu mnaanza malalamishi kila mahali.
Again kupostiwa sio kwamba wana ignore mtu. Kwanza hata akiomba kupostiwa sio dhambi hyo chekechua inasikilizwa na watu maredio mbalimbali hadi vijijini wasipo tumia internet.
Kikubwa msanii ukubalike mioyoni mwa watu hizo nyingine bwembwe tu.
 
Back
Top Bottom