Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
PUMBa na mahindi zinapatikana wapi??It doesn't matter upostiwe au usipostiwe kitu kile kile tu mana MTU asipostiwa kwenye kitu mnaanza malalamishi kila mahali.
Again kupostiwa sio kwamba wana ignore mtu. Kwanza hata akiomba kupostiwa sio dhambi hyo chekechua inasikilizwa na watu maredio mbalimbali hadi vijijini wasipo tumia internet.
Kikubwa msanii ukubalike mioyoni mwa watu hizo nyingine bwembwe tu.
huuu huuu huuu
PUMBa na mahindi zinapatikana wapi??
Hasa hasa pumbA maana nasikia una kiwanda cha pumba home
Nana trace tv nafasi ya 3.chekecha je?
Trace ya manzese au?
Hahaaaaaaaa ya Tandale hyo.
Acha uongo Yale yaliokua yana sema vote for diamond yalikua ya nini. Mkikosa tuzo ndo mnajifanya kuona wasanii wengine ka Barnaba na Bella.
#wazeewakushushwa
#walalamishi
Ila jamaa wetu Kolabo ndio zinamtoa bila kolabo hana wimbo utakaoshindanishwa.Ndomo bila kolabo na Wanaija hana chakugombania tuzo wala nini.
Wanahaha haooooo!! Hawakosi sababu, wazee wa kujihami na kujistukia!!! Chefuuuu
Kumbe sasa mbona haitaji tena iyo brand name ooh kumbe nilisahau isha decline 😀😀😀😀
Kwani whats going on in here?? Mbona watu wanahorojoka tu??? Wazalendo humu wanatafuta nn?
Hizi tuzo za KTMA zimewachanganya mno hadi baadhi ya nati zimeachia aisee.Kiba ndo kiboko yao yuko simple lakini anawahangaisha watu vibaya mno.
Hahaaa hakuna jipya ma dia hapa zaidi ya paniki tu basi na kuhorojoka kwa sana tu.
Wazalendo wamekuja huku kubadilisha mazingira you know na kutaka mashindano ya kijinga tu.
mtu awe na brand mbili, unafikiri ni kama wewe huku unauza njiwa huku unanunua zile hela zetu, teh teh
Yanawacost ila hawakomi, kweli ni rahisi kumtoa mtu nje ya tandale ila kuutoa utandale ndani yake usahau kabisaaaa!!! Wazalendo bwana
Mweee muuza njiwa kumbe alirudi jamani, maumivu yamepoa? Au bado anajiuguza tu!!! King Kiba nipe raha mie
Zaidi ya Ku cost na wanajitia vichwa ngumu tu.
Exposure nayo ni muhimu pia na jinsi ya Ku win watu. Utandaleni plasi uswahili ulikua nao kuutoa ni ngumu mno loh.
Chezeiya wazalendo weye
nilimuona mahali fulani, ananunua sarafu za 500 kwa 1500, yaani wamejaa ukanjanja tu!