Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Tuko poa, hatuna habareeee.
Zetu kazi wao mapovu.Tuko kwenye campaign ya kuwapigia kura akina Davido, Vanessa, Mr. Flavour na Wizkid.

Iyo kampeni iko poa as long as itasaidia kuondoa zile kelele za CHURA(TEAM MONDI) zisizomzuia TEMBO(KINGKIBA) kunywa MAJI(TUZO).
 
Hahahahaaa, ila kuwa tu mkweli...Nyie mmezidi.
Tena mkishajua watu wameiponda mnarekebisha kama nasema nawe ikabidi bibie Khadija atafute ili wimbo unoge kidogo.

Zile hakuvujisha kiba ni wajingawajinga fulani ndio walizivujisha, wanafiki fulani iviii!! ila zote zilikuwa kali kinoma zile nyimbo sijui kwanini zilivuja yaani, ila zipo in my play list maana ni kali zoteeeee, as usual
 
Sista unazidi ule wa wife wa dunia? huu wimbo kwangu ni shiidaaa!! can't wait to see its video

cc nifah

Weee hazizidiani maana zote ni kaliiii, wife wa dunia kwakweli haukupaswa kupotea hivihivi jamani, mtamu mnoooo(khaaa upi sasa sio mtamu) King jamani khaaaaa umezidi bwana, sio kwa utunzi huu jamani
 
Last edited by a moderator:
KING hana mchezo kabisa kwa maajabu aliyofanya usiku wa KTMA2015...yani kanifukuzia kabisa ile mtu inaitwa Kendrick humu ndani.
 
KING hana mchezo kabisa kwa maajabu aliyofanya usiku wa KTMA2015...yani kanifukuzia kabisa ile mtu inaitwa Kendrick humu ndani.

Hivi yuko hai kweli? Yule anavyomchukia Kiba ukute kazimia hadi leo
 
Nilibanwa banwa hapo kati best, nikawa nachungulia tu na kukimbia, nilikuchungulia kidogo kwenye ule uzi wako wa awards za Kili kuna mahali nilikusoma khaaa kidogo nijitokeze kwani kidogo uzalendo unishinde kwa ile comment yako, manake nilicheka mpaka nikatamani nikustue!! sema sasa ndo nilikuwa hi hi nikakimbia

Unakumbuka ulisemaje kuhusu kwanini Fetty ametulia sehemu moja hazunguki zunguki??? aaaaaah we best weweee loh!!!

Hahahahaaa, alikua anaogopa kugeuka flat screen isionekane. ..lol
Pole na majukumu best, hope kila kitu kiko poa kabisa.
 
Mtani niko hapa unasemaje? Ushapiga kura lkn au mnasubiri mumyafute mchawi tena? Teh teh teh
Nilikumiss mtani
Mimi tena
Mtani nimepiga kabisa..basi na wewe piga japo moja hata kwa siri! Lakini kijana atarudi na tunzo !
Mtani ukimuona nifah mwambie namtafuta!
 
Last edited by a moderator:
Nilikumiss mtani
Mimi tena
Mtani nimepiga kabisa..basi na wewe piga japo moja hata kwa siri! Lakini kijana atarudi na tunzo !
Mtani ukimuona nifah mwambie namtafuta!

Hahahaaaa!!! nifah yuko busy na compaign sijui hata yuko wapi now
 
Last edited by a moderator:
Nilikumiss mtani
Mimi tena
Mtani nimepiga kabisa..basi na wewe piga japo moja hata kwa siri! Lakini kijana atarudi na tunzo !
Mtani ukimuona nifah mwambie namtafuta!

Nipo kwenye campaign ya muziki mzuri, sipigii kura kitu KIBOVU kisa uzalendo.
Nyie endeleeni tu na uzalendo wenu waTanzania maana kwa kukumbatia VIBOVU tu hamjambo.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaa, alikua anaogopa kugeuka flat screen isionekane. ..lol
Pole na majukumu best, hope kila kitu kiko poa kabisa.

Hahaaaaa we noma best

Kila kitu kiko poa kwa kweli best, ni majukumu ya kawaida tu ya maisha

Hongera kwa tuzo za Kiba, manake ulivyojimwaya mwaya siku ile sipati picha kabisa
 
Weee hazizidiani maana zote ni kaliiii, wife wa dunia kwakweli haukupaswa kupotea hivihivi jamani, mtamu mnoooo(khaaa upi sasa sio mtamu) King jamani khaaaaa umezidi bwana, sio kwa utunzi huu jamani

Halafu nyimbo zake ndefu, kama huo wa wife wa dunia nadhani kuna NANA mbili humo!!
 
Halafu nyimbo zake ndefu, kama huo wa wife wa dunia nadhani kuna NANA mbili humo!!

Na kwa uzuri basi zinaingia zoooote ndani ya huo mmoja, (kama namuona mtu anavyosonya)
 
Hahaaaaa we noma best

Kila kitu kiko poa kwa kweli best, ni majukumu ya kawaida tu ya maisha

Hongera kwa tuzo za Kiba, manake ulivyojimwaya mwaya siku ile sipati picha kabisa

Acha kabisa best, mwaka wa 2015 ni mwaka bora kabisa kwangu maana kila ninachokishabikia kimeibuka na ushindi as follows. ...
Yanga -Bingwa wa ligi kuu
Arsenal-Bingwa wa FA
Kiba- Tuzo 7!
 
Back
Top Bottom