Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Eti Kiba hafikirii kwenda international yeye ana zaa zaaa tu ndo ajuavyo.
Wanawake wote alio wa date ni makombo loh.
Nimeamini ukimya ni hekima kauli za kuwachamba mashabiki zimemtokea puani.

kweli nyani haoni kundule kwahiyo zari alitolewa bikra na diomnd au wale watoto aliwatoa kwa nyuma
 

Attachments

  • 1434402221131.jpg
    1434402221131.jpg
    36.9 KB · Views: 119
Na wewe ni mmoja wapo wa wapumbavu. Hasira hizo zinakusumbua hebu kunywa maji baridi kujituliza kwanza.

watu wamevurugwa huko insta hawana masihara
 

Attachments

  • 1434403555511.jpg
    1434403555511.jpg
    47.7 KB · Views: 92
Nimeamini team kiba tunatrishaaaaaaa.
loooh sio kwa kuwalisha watu ukwaju ivyo.
wamesinyaaa
 
Nimeamini team kiba tunatrishaaaaaaa.
loooh sio kwa kuwalisha watu ukwaju ivyo.
wamesinyaaa

Wamevurugwa hatari, heheeeeiiiyaaaa!! Mpaka babu yao chinga anatapatapa kuleeeee, haamini majicho yake, ye anadhani wao walivyomgeuka Kiba na kuanza kumtusi rahaaaaaaaa!!! I love is tanzania(in shishi's voice)
 
Wamevurugwa hatari, heheeeeiiiyaaaa!! Mpaka babu yao chinga anatapatapa kuleeeee, haamini majicho yake, ye anadhani wao walivyomgeuka Kiba na kuanza kumtusi rahaaaaaaaa!!! I love is tanzania(in shishi's voice)

Khe kheee kheeeeee nakwambia atoto mond hapati. Kama kuwakilisha TANZANIA KUNA VANESA
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaaaaa!! Kuvurugwa kubayaaaaaaa!!! Haya wachawi wenzangu tuwange vizuri na hivyo na outlook mbovu basiii rahaaaa, uchawi raha jamani khaaaah!!
 
Vote! vote! vote!
Vote for Africa...vote for wizkidayo, vote for Davido
 
Vote for Africans Campaign, sote ni wamoja, Nyerere, Mandela and Nkurumah are our daddies, Vote for Davido, Wikzd and Vee Money.
 
Back
Top Bottom