Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

aaah sana!
Mie hiyo nyimbo nilivyoiona nilicheka sana....mradi tu wameweka vimaneno vya kunogesha nogesha.

dah asante KingKiba kwa lile dance la mwana hakika haichoshi.

ndo akili yao ilipoishia. ngoja tusubiri chekecha video uone dance la humo
 
Ila wamama nao watulie jamani......wanaaibisha watoto zao au wajitose tu kama Natasha!

Hawezi kutulia ka ni tabia yake tangia ujana. Ndo Leo nimejua kwa nini huyu mama aliachana na baba chibu si bure.
Bora angetafta mtu mzima wa kumsitiri Serengeti boy wanazalilishaga tu.
 
Ila wamama nao watulie jamani......wanaaibisha watoto zao au wajitose tu kama Natasha!

Umesema jambo la maana sana Avemaria.Ila ukumbuke kua tabia ni kilema hakiponi, huyu mama ndio tabia yake hivyo hawezi kuacha.
Sisi hua tunajiuliza hivi domo haoni aibu kwa mambo yake yale kumbe karithi kwa mama?
Hakika tunda halianguki mbali na mti.
 
Last edited by a moderator:
Dawa yake kumpotezea tu ameshaona sifa. Hawa mashabiki wadomo kwa kujizalilisha hawatumii akili. Sasa mtu kumshabikia kiba imekua kosa. Waswahili bwana wana matatizo.

Tatizo wengi ni watoto hata wasiojua nn wanashabikia, stress za dvs 5 wanatuletea humu, bora ujinga wao wabaki nao hukohuko fb na inst.
 
Umesema jambo la maana sana Avemaria.Ila ukumbuke kua tabia ni kilema hakiponi, huyu mama ndio tabia yake hivyo hawezi kuacha.
Sisi hua tunajiuliza hivi domo haoni aibu kwa mambo yake yale kumbe karithi kwa mama?
Hakika tunda halianguki mbali na mti.

Mmmh! Nyie watoto kwa umbea siwawezi, duuuuh yaani huwa sipendi wazazi wanapodhalilishwa jamani, lkn why huyu mama jamani na utu uzima huo afanye hayo? Anajua kabisaa kwavle mwanae maarufu lazima naye ni maarufu so inatakiwa ajichunge haswaaa, siombei kabisaaaa hizo picha cjui tape zivuje maana hapana kwakweli!!!
 
Last edited by a moderator:
Naona wamelala muda huu, anyway mkiamka pitieni huko jamaa ana vitu vitatu vikuu vya maana. Carrier development ndo tunahitaji. Shime twendeni mkaone huku MTV, NEA na collabo na KCEE. Mbona rahaaa, Mr. Floor upo?
 
Naona wamelala muda huu, anyway mkiamka pitieni huko jamaa ana vitu vitatu vikuu vya maana. Carrier development ndo tunahitaji. Shime twendeni mkaone huku MTV, NEA na collabo na KCEE. Mbona rahaaa, Mr. Floor upo?

Teh
NEA mbele ya Sarkodie
 
Naona wamelala muda huu, anyway mkiamka pitieni huko jamaa ana vitu vitatu vikuu vya maana. Carrier development ndo tunahitaji. Shime twendeni mkaone huku MTV, NEA na collabo na KCEE. Mbona rahaaa, Mr. Floor upo?

Nani alale wewe? Halafu hizi habari kwanini usizipeleke kwenye ule uzi wenu?
Nyie si mahodari wa kuiga? Uzi umekufa kazi kuhangaika huku tu.Hapa ni mtakuja....poleni!
 
Mmmh! Nyie watoto kwa umbea siwawezi, duuuuh yaani huwa sipendi wazazi wanapodhalilishwa jamani, lkn why huyu mama jamani na utu uzima huo afanye hayo? Anajua kabisaa kwavle mwanae maarufu lazima naye ni maarufu so inatakiwa ajichunge haswaaa, siombei kabisaaaa hizo picha cjui tape zivuje maana hapana kwakweli!!!

Mwenzangu mama mzima yule kubeba mimba tena ya dogodogo huku mwanae anahangaika kupata mtoto ni aibu iliyoje?
Ndio maana waliitoa fastaaa, mama mtu mzima yule angekufa kwa kutoa mimba ni zaidi ya aibu.
Kijana wa watu akaona isiwe taabu, akaenda zake kuoa, bado anambembeleza warudiane!
 
Naona wamelala muda huu, anyway mkiamka pitieni huko jamaa ana vitu vitatu vikuu vya maana. Carrier development ndo tunahitaji. Shime twendeni mkaone huku MTV, NEA na collabo na KCEE. Mbona rahaaa, Mr. Floor upo?

kwani umetumwa huku. uzi wenu upo. kichwa maji wewe
 
Mwenzangu mama mzima yule kubeba mimba tena ya dogodogo huku mwanae anahangaika kupata mtoto ni aibu iliyoje?
Ndio maana waliitoa fastaaa, mama mtu mzima yule angekufa kwa kutoa mimba ni zaidi ya aibu.
Kijana wa watu akaona isiwe taabu, akaenda zake kuoa, bado anambembeleza warudiane!

Duuuuuh!! Oooh mara jini kumbe ilikuwa kimjusi!!! Mmmh kweli ukipanda mwembe huvuni mapera
 
Nyeg* hazina umri kwani bi mkubwa kubanjuliwa ajabu! Mi sioni hata cha kushangaza hapo labda kikija kikubwa ntashangaa
 
Back
Top Bottom