Yule ni team domo na wameona saivi tume potezea upuuzi wao tunafanya yetu sasa wanajitahidi kututoboa na vidole machoni...
Kama mtu anataka kuwa maarufu jf atafute njia nyingine lakini sio kutafuta kiki kwa kiba fans.
Ina maana bila sisi celebrity forum haiendi?
Wamenikera sana