ni ukweli usiopingika kuwa kiba yupo juu na ataendelea kuwa juu daima kwa kuwa ana vigezo vyote vinavyomtaka msanii hawe juu navyo ni hivi,nidhamu ya mziki.anajituma sana,hana maringo,hajisikii na kudharau watu,ana nyimbo kali sana,hana masikendo sikendo kama fulani, habadilishi wanawake ovyo kama fulani,hajichetui kama fulani, kwa vigezo hivi k 4 real ataendelea kuwa juu