Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Hahahahahahaa uwiiiiiii! Asante kwa kunikumbusha nilitaka kusema hili nikasahau.
Ooh Kiba show zake za buku 10, vipi leo Le Billionaire anaenda kupiga show ya elfu 5?
Mwanamuziki wa kimataifa jamani aibu gani hii?

Hahaaaaaa eti za elfu kumi ni za masikini wao million Tatu. Kanishangaza Leo buku tano ndo anapiga. Kauli za kijinga bila kufikiri zinawaangamizaga wengi bora mtu angekua hajatoka uswahili amekulia maisha ya watu ka Bakheresa wapi. Wanaosahau walipotoka wana matatizo.
Ukiona hvo hali ngumu mama eeeh kuji pretend kusiko na msingi. Najua tuzo ya Kiba imempanikisha hata lala
Mwezi.
 
Hahahahaha, huyo ni NAZI yetu hapa wala asikupe shida.
Wenzio tumeshamzoea tumebaki tunajichekea tu.
Sometimes anatia huruma maana uzi wao umekufa na anahitaji watu wa kushare nae vitu anakosa inabidi ajipendekeze huku.
Na hapo anatumia fake ID Ila tunamjua vizuri tu.

Hahahaaaaa!!! Yaani wanajitihada za id hawa watu, alafu wao wa intaneshino sijui hapa neshino wanahangaika na nn, hivi mwanza iko Tanzania au USA?
 
Nyie ndo muumie aisee midume mizima mnaojifanya international kuhangaika na msanii local. Tuzo mmekosa na bado. Ku post kwenye Uzi wake inaonyesha mnaumia Mpaka vibamia.
Na MNA post kujifariji nendeni kwenye Uzi wake huku mnajisumbua wanaume gani msio jiamini. Kuja kulia lia kwenye Uzi wa mwanaume mwenzenu acheni udhaifu jikazeni utafikiri mumetelekezwa. Wanaume wengine buaaaana isingekua chululu mngekua mna chuchumaaaa ebooooo.

Hivi kumbe ni wavulana?? Nina mashaka na hilo, haiwezekani
 
Hahaaaaaa eti za elfu kumi ni za masikini wao million Tatu. Kanishangaza Leo buku tano ndo anapiga. Kauli za kijinga bila kufikiri zinawaangamizaga wengi bora mtu angekua hajatoka uswahili amekulia maisha ya watu ka Bakheresa wapi. Wanaosahau walipotoka wana matatizo.
Ukiona hvo hali ngumu mama eeeh kuji pretend kusiko na msingi. Najua tuzo ya Kiba imempanikisha hata lala
Mwezi.

Masikini akipata wowowo hulia mbwataaaa
 
Hahahaaaaa!!! Yaani wanajitihada za id hawa watu, alafu wao wa intaneshino sijui hapa neshino wanahangaika na nn, hivi mwanza iko Tanzania au USA?

Hahaaaas msanii wa neshino anamsumbua msanii wa kimataifa level ya Jay z na Leo kapiga show ya buku tano. Madai yao Mwanza ni USA na hyo ni show ya kimataifa.
 
Hahahahaha, huyo ni NAZI yetu hapa wala asikupe shida.
Wenzio tumeshamzoea tumebaki tunajichekea tu.
Sometimes anatia huruma maana uzi wao umekufa na anahitaji watu wa kushare nae vitu anakosa inabidi ajipendekeze huku.
Na hapo anatumia fake ID Ila tunamjua vizuri tu.

hahahaha hebu miss wangu nijuze anaitwa nani huyo kiazi
 

Attachments

  • 1432452213484.jpg
    1432452213484.jpg
    70.5 KB · Views: 88
Back
Top Bottom