kwani ally kiba ana mpinzani!!!!
Kiba 4real pop it in....the gentle mean ndo kiboko yao
mbona unaguna? anything wrong?
Ms.Lincoln eti wataka kuimbiwa wewe!?.....Hapana nothing wrng c kuna mtu kaambiwa lazima ajue kumuimbia
Ms.Lincoln eti wataka kuimbiwa wewe!?.....
Roho inaona rahaaaa....mpaka udenda unanitoka! Athens hakikisha huu wimbo mpya unaniimbia mpaka niiuelewe
Jina la wimbo
Hapana nothing wrng c kuna mtu kaambiwa lazima ajue kumuimbia
Matola ataimba ucjarEe...haswa na mtu anayejua kuimbisha wimbo ukanoga!
wow! ndio bampa to bampa inaanza eti, safi sana
jamani kuna mtu kanionea Viol?? maana tangu aage kwenda zanzibar kwenye sauti za busara sijamuona tena!!
Nilikosa mtoto wa kidosi hivihivi enzi za Bombay sasa Mumbai baada ya kushindwa kipengele hiki cha kuimba masong kama Amitha Bachan.
Yah imeanza hii