Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Attachments

  • 1424801475317.jpg
    1424801475317.jpg
    40.1 KB · Views: 97
Last edited by a moderator:
Kwa Ali kiba anatatizo la kutokujitangaza kwa kutosha alikuwa na show YA Zanzibar unaona a anandika tu 'Sauti za busara' ️sasa mtu anaelewa NINI hapo andika kinachoeleweka tukutane Sauti za busara tarehe flan BAsi then anasijui ndio dharau au kujisikia hayupo Karibu n washabiki zake na ndio apo mpinzani wake anapompiku
 
Jamani tumchangieni mleta uzi please tumsaidieni hata buku buku inatosha... mimi nitatoa 5000 fanyeni hima wakuu... hamuoni uzi umedorora halafu Matola haonekani sikuizi
... yaani akiingia dakika 5 anatoka
...yote kutokana na bundle za net kupunguzwa mpaka 8 mb sasa shemeji yake amekua mkali kidogo kwa matola hasa katika masuala ya matumizi ya net. Kampa ruhusa ya kutumia only 1MB kwa siku..

Cc Ritz Bill Cosby THE BIG SHOW
 
Last edited by a moderator:
Jamani tumchangieni mleta uzi please tumsaidieni hata buku buku inatosha... mimi nitatoa 5000 fanyeni hima wakuu... hamuoni uzi umedorora halafu Matola haonekani sikuizi
... yaani akiingia dakika 5 anatoka
...yote kutokana na bundle za net kupunguzwa mpaka 8 mb sasa shemeji yake amekua mkali kidogo kwa matola hasa katika masuala ya matumizi ya net. Kampa ruhusa ya kutumia only 1MB kwa siku..

Cc Ritz Bill Cosby THE BIG SHOW

Mimi natoa 10000
 
Last edited by a moderator:
Jamani tumchangieni mleta uzi please tumsaidieni hata buku buku inatosha... mimi nitatoa 5000 fanyeni hima wakuu... hamuoni uzi umedorora halafu Matola haonekani sikuizi
... yaani akiingia dakika 5 anatoka
...yote kutokana na bundle za net kupunguzwa mpaka 8 mb sasa shemeji yake amekua mkali kidogo kwa matola hasa katika masuala ya matumizi ya net. Kampa ruhusa ya kutumia only 1MB kwa siku..

Cc Ritz Bill Cosby THE BIG SHOW

Khaa jamani
 
Last edited by a moderator:
Kwa Ali kiba anatatizo la kutokujitangaza kwa kutosha alikuwa na show YA Zanzibar unaona a anandika tu 'Sauti za busara' ️sasa mtu anaelewa NINI hapo andika kinachoeleweka tukutane Sauti za busara tarehe flan BAsi then anasijui ndio dharau au kujisikia hayupo Karibu n washabiki zake na ndio apo mpinzani wake anapompiku

kwani ally kiba ana mpinzani!!!!
 
Back
Top Bottom