Wewe FALSAFA unaonekana kuwa chokonozi tu, umeshindwa kumwaga sifa zako nyumbani kwenu, ... Diamond special thread... ukaja kuparamia thread ya King AK. Utaonekana mtumwa ndani ya nyumba ya mufalme/mfalme. Hiyo ni trespass, ondoka kwenye hii thread uwaachie wenyewe.
Weekend hii ule npango vipi
Hello atoto
umepotea sn
Wanaanzaga hivihivi tukiamua kuwatolea uvivu ndo inakuwa shida!Anyways....sie tuendelee kujibrekisha na muke ya dunia!Anataka attention afu wala amekuta tuna furaha na 'Muke ya Dunia" tunamwona lafa tu
Wanaanzaga hivihivi tukiamua kuwatolea uvivu ndo inakuwa shida!Anyways....sie tuendelee kujibrekisha na muke ya dunia!
Nipo atoto huku kwa mufalme huwa napita tu kuburudika
jamani hebu tumuacheni huyu jamaa anayejiita FALSAFA maana tukijibizana naye tutaonekana sote hatuna akili, GO KING KIBA, KEEP THE GOOD MUSIC ALIVE
Kiba ni shida yuko na msupuuu mtoto mkareee
karibu sana, hapa ndio penyewe, hiyo wife wa dunia umeipata?
Hawa ni kina nani?