Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Umeona eeh?Mimi nimesikia kamwaga mapesa nikadhani ni madolari au misimbazi kumbe buku 2?...

Zoom hiyo picha angalia hiyo bundle vizuri ni buku2 tena bundle iko half so ni laki 5,amekuna mkono unapofikia pia ahamie kwenye mjengo wke 2015
 
Tulia mama.Wewe jiulize balaa lote hili ni jiwe la mwana tu.Akiangusha jingine si tutaweka msiba?
Bamba to bampa...
Pop it in....

ila kiba mwacheni tu jamani, ngoma moja tu imetoka lini sijui lkn bado inaleta shida balaaa!! mie natamani hata ingefanyiwa remix amshirikishe kichwa mwingine azidi kuupa uhai, capital bado ni namba moja tu!!! hii ngoma nyie acheni tu its the song of the year
 
hapana mama, mie nilikuita weeee ukanichunia sasa cjui ni maproject yanakubana!! maana mmefichana hatari, Kiba na tuzo yake ya refio one ila anakaba watu mbele na nyuma, hahahaaaaa!!!

mweee dunia ina mambo hii, kiba anipe tu raha niongeze cku za kuishi niendelee kushuhudia haya mambo ya dunia!

Oh,nilishtuka kidogo mwaya bora sasa.Mnhhh wewe mbona una maproject yako mimi sisemi?unadhani sijui eeh?Poleeee
Wewe pia umepotea sana hapa.

Saana tu.....
Pop it in....
 
Eti jamani!Ndomo anajua fika kua King sio saizi yake.Hadi ikabidi apunguze ile 'bilioni' kwenda kununua shangwe unafanya mchezo?

wakubali wakatae ila ukweli ni kuwa kiba anamnyima sana ucngizi huyu jamaa!!! walaaa hajawahi jilinganisha nae ila wao kutwa kumlinganisha nae, ss si wanasema ye msanii wa kimataifa sasa kwann msanii wa kitongoji awanyime ucngizi!!!
hahahaaaaa!! uwiii nacheka km mazuri vile! ila acheni tu nimpende kiba i hv all reasons in the world, dont ask me! teh teh teh
 
Waganda ni wauza sembe kitambo sasa jamaa yenu kapanda n bundle la buku2 ambalo hata halifiki laki 5 kugawa.huwezi chop tsh kma uko n mkwanja $ ndio mpango mzima
nifah naomba ufafanuzi juu ya hili maana km sijawapatapata hapa!!
 
Last edited by a moderator:
ila kiba mwacheni tu jamani, ngoma moja tu imetoka lini sijui lkn bado inaleta shida balaaa!! mie natamani hata ingefanyiwa remix amshirikishe kichwa mwingine azidi kuupa uhai, capital bado ni namba moja tu!!! hii ngoma nyie acheni tu its the song of the year
atoto hiki kitu nakisema kila siku.Ngoma ya mwana ndio wimbo bora kabisa kwa mwaka huu.Hakuna mwingine wa kuufananisha au kushindanisha nao.
Kill music tutazichota za kufa mtu....
Pop it in....
 
Last edited by a moderator:
Oh dear geniveros...King ana bifu na nani?watu tu wanajishtukia.

mashabiki tunawapresharize sana jana daimond alipaniki sana maskini dah
wafanyabiashara wa mziki ndo mda wa kuvuna huu
 
Last edited by a moderator:
wakubali wakatae ila ukweli ni kuwa kiba anamnyima sana ucngizi huyu jamaa!!! walaaa hajawahi jilinganisha nae ila wao kutwa kumlinganisha nae, ss si wanasema ye msanii wa kimataifa sasa kwann msanii wa kitongoji awanyime ucngizi!!!
hahahaaaaa!! uwiii nacheka km mazuri vile! ila acheni tu nimpende kiba i hv all reasons in the world, dont ask me! teh teh teh

Hahahaaaaa I would like to know them mumy.....
Ajabu hiyo,msanii ambaye kila siku wanatupigia kelele humu kua King mwisho dar lakini anamnyima usingizi ndomo wa kimataifa!
Heheheeeeee....
 
Oh,nilishtuka kidogo mwaya bora sasa.Mnhhh wewe mbona una maproject yako mimi sisemi?unadhani sijui eeh?Poleeee
Wewe pia umepotea sana hapa.

Saana tu.....
Pop it in....

hahahaaa!!! nifah naona unaanza kunisingizia mchana kweupeee!! usijali takuhonga buku usipotee tena!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo y mkopo ni uwongo tu 10m kwake ni kidogo cz anafanya kazi kadinda amekanusha.hata kma domo hana hela hawezi mtumia wema amkopee mana bidada hana siri atabwabwaja

Usimuamini ndomo hata siku moja.Hata kama sio kweli unaweza kuta ni yeye na team yake walilipeleka hilo gazetini kutafuta kick.
 
atoto hiki kitu nakisema kila siku.Ngoma ya mwana ndio wimbo bora kabisa kwa mwaka huu.Hakuna mwingine wa kuufananisha au kushindanisha nao.
Kill music tutazichota za kufa mtu....
Pop it in....

Mwana ni wimbo wa decade. ..kama wimbo ni pesa basi wimbo wa mwana wa ally kiba unanunua nyimbo zote za domond na chenji inabaki
 
Last edited by a moderator:
atoto hiki kitu nakisema kila siku.Ngoma ya mwana ndio wimbo bora kabisa kwa mwaka huu.Hakuna mwingine wa kuufananisha au kushindanisha nao.
Kill music tutazichota za kufa mtu....
Pop it in....

wasije tu wakachinja punda ikifikaa hiyo maana!!!
asipozizoa siangalii tena!! nawanunia sijui kwa muda gani!! teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
nifah naomba ufafanuzi juu ya hili maana km sijawapatapata hapa!!

Anamaanisha huyo King Lawrence (kama upo instagram nenda kamsearch) ana pesa hadi anahofia ni za sembe.Yeye na wenzie wa huko Ug.
 
Last edited by a moderator:
whaaat!!! dont say that jamani, mi napenda wote waendelee kuwepo tena kwa amani zaidi, washindane kwa vipaji vyao tu ila sio wafikie huko jamani!!! God forbid!!! Aimen.

watoe ngoma pamoja bas yaishe mi mwenzenu sipendi chuki chuki za ajabu ujue
 
Back
Top Bottom