Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
na watu wote waseme Amen.......
sadaka kwangu ziko salama kabisaaaaaa
Aimeeeeeen!
na watu wote waseme Amen.......
sadaka kwangu ziko salama kabisaaaaaa
Wewe mtoto siku zote hizi bado unanyonya tu?
na watu wote waseme Amen.......
sadaka kwangu ziko salama kabisaaaaaa
hahaaaaa nimesharudi Mpwa.......
let us catch up this weekend
Nilifanikiwa.....na hapa nipo katika mkutano wa kuwashukuru wapiga kura
Kumbe ulidhamiria kweli?
Tisha saaaaaaaaana miss strong. All the best!
Anahojiwa sahivi FNL kaja na malaya
mmmh!!! kama huyu mwenye gauni jeusi ndio cjamuelewa hataaa maana hata pichu hajavaa
guys kiba on friday night live, he is looking soooo gud jamani, kiba jamani he is sooo humble.
hivi mmepotelea wapi nyie watu nifah Mdakuzi Matola Ms.Lincoln Avemaria geniveros Abou Saydou na wengineo, hahaaa itifaki imezingatiwa lol.
mmmh!!! kama huyu mwenye gauni jeusi ndio cjamuelewa hataaa maana hata pichu hajavaa
Jameni ndo nshapitwa hivyoooo!
Nature aliingiaga na ndala Misago akamfukuza but huyu malaya aliyekuja kutuonyesha matiti na upaja anamfurahia tu duh
pole sn mama alikuwa anaelezea mipango yake, anatarajia kuachia ngoma mbili moja ikiwa ni colabo ila alofanya nae ni suprise, imeonyeshwa na video yake na mwana fa iko poa kinoma noma.
Kwanini aachie ngoma mbili jamani?
Mi huo mpango haunibariki kabisa, obvious ngoma moja itapotelea tu hewani. Mpaka leo nyimbo ya kimasomaso inaniuma aiseee, ile sauti mule na yale mashairi mweeeeh but haisikiki. Kiukweli naipenda sana hiyo nyimbo, huwa natamani ingekuwa na video yake.
mmmh!!! kama huyu mwenye gauni jeusi ndio cjamuelewa hataaa maana hata pichu hajavaa
mwenzangu labda ndio bampa to bampa hiyo!!! ni ngumu sana ukaachia ngoma mbili alafu zote zikafanya sawa lazima mmoja ufunike mwingine, kimasomaso una mashairi matamu aisee cjui kwann aliugaya!!!