Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,223
Last edited by a moderator:
guys kiba on friday night live, he is looking soooo gud jamani, kiba jamani he is sooo humble.
hivi mmepotelea wapi nyie watu nifah Mdakuzi Matola Ms.Lincoln Avemaria geniveros Abou Saydou na wengineo, hahaaa itifaki imezingatiwa lol.
Anahojiwa sahivi FNL kaja na malaya
mmmh!!! kama huyu mwenye gauni jeusi ndio cjamuelewa hataaa maana hata pichu hajavaa
Hivi huyu Misago kamruhusuje kuingia ndani? Nilikuwa naona hata aibu kuangalia tv alivyokuwa anacheza japo nipo pekeyangu,matiti kayaachia yanataka kutoka nje, sijui Kiba kafikiria nini kuja na hizo malaya.
Nature aliingiaga na ndala Misago akamfukuza but huyu malaya aliyekuja kutuonyesha matiti na upaja anamfurahia tu duh
Kwanini aachie ngoma mbili jamani?
Mi huo mpango haunibariki kabisa, obvious ngoma moja itapotelea tu hewani. Mpaka leo nyimbo ya kimasomaso inaniuma aiseee, ile sauti mule na yale mashairi mweeeeh but haisikiki. Kiukweli naipenda sana hiyo nyimbo, huwa natamani ingekuwa na video yake.
Demu wa Kiba huyo.
Utaingiaje ofisi za watu na ndala ! Uhuni mwengne uishie Tandika uko
Ila mavimini hata ikulu yanaingia
kuingia ofisi ya mtu paja wazi na matiti yanataka kutoka nje ni sawa?
Unasema??
marahabaaaaa mdogo wangu, haujambo?
Sifa zimemwingia mkariakoo anaanza kuzngua sasa
Oooh My God naumwa dada
ni mapema kuongea lets wait and see this strategy again, and wht he is trying to achieve with it then mengine yataendelea
pole sana, jamani wewe kila siku unaumwa?
pole mkuu!tafuta daktari au le profesorYah kwasababu ni kiumbe hai ninaye windwa