Ali Kamwe: Shabiki wa Yanga paka Bleach kichwani na kwenye Ndevu "PACOME DAY"

Labda ungeeleza kwa mifano ni athari zipi zmejitokeza kwa kutumia majina ya wachezaji kuhamasisha mashabiki?
Au kupaka bleach kunaathiri nini mshabiki ambae analengo la kuiunga mkono timu yake?
Kama hauna sababu zenye mashiko tuendelee tuu kumpongeza mzee Rage kwa maono yake
 
Mnarudiana wenyewe kwa wenyewe. Fisi anakula utumbo wake.
Mbona kawaida ukileta upuuzi.... Tunakutumbukiza majini sisi tunaendelea na safari!. Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi pinga Jambo ambalo lina lengo la kuhamasisha ushindi tena nyakati amabzo umoja unahitaji!. Afu yanatokea mapuuzi yanaleta ujinga...
 
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.

Ali Kamwe amesema,

"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY ๐Š๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ ๐™๐š๐ข๐๐ข .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"

"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza ๐Š๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ ๐™๐š๐ข๐๐ข kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe

Nini maoni yako?

Mjanja M1
Yeye alishaonesha mfano wa kupaka hiyo blich?

Au mnaenda km manyumbu!

Mkijitahidi mtapigwa kimoko kwa mechi zote Yanga kudroo ni 5% kufungwa ni 95%
 
Hulazimishwi kupaka bleach
We tokezea uwanjani
Shangilia Yanga yetu

Coach anaandaa team Avic town
Hizi zingine ni mambobya nje ya uwanja na hamasa tu

Hii ishu inafanya team yetu iongelewe kwenye mitandao

Team ya media ni wabunifu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanatokwa na povu as if imetangazwa kua asiepaka bleach haruhusiwi kuangalia mechi.
Au Kamwe amechukua nafasi ya watu pale klabuni, watu bado wana kinyongo?
 
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.

Ali Kamwe amesema,

"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY ๐Š๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ ๐™๐š๐ข๐๐ข .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"

"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza ๐Š๐ข๐ญ๐š๐š๐ฅ๐š๐ฆ๐ฎ ๐™๐š๐ข๐๐ข kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe

Nini maoni yako?

โœ๏ธ Mjanja M1
Mambo kama haya ndio huwa yanafanya Haji aonekane alikuwa sawa kwenye ile kauli yake.

Wenye akili ni wawili.
 
Ivi ikatokea mkapigwa au draw si mtajiongezea aibu mara mbili.
Vitu vingine ni upumbavu WA hali ya juu sana
 
Back
Top Bottom