Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,829
- 225,639
Pakeni wanathimba maana mmefurahia sana๐
Pakeni wanathimba maana mmefurahia sana๐
Tuliza kinyeo chako.... Bleach wapake wengine uumie wewe?.Usilete makasiriko hapa, kapake bleach ujipige na picha tukuone huwezi ijua siku yako ya bahati
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Tuliza kinyeo.... Huna la maana unaendekeza chuki kwenye kazi za watu!.Utoto unawasumbuwa wewe na huyo Ally Kamwe aliyesema hawezi kuowa labda anasubiri kuolewa.
Mnarudiana wenyewe kwa wenyewe. Fisi anakula utumbo wake.Tuliza kinyeo.... Huna la maana unaendekeza chuki kwenye kazi za watu!.
Mbona kawaida ukileta upuuzi.... Tunakutumbukiza majini sisi tunaendelea na safari!. Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi pinga Jambo ambalo lina lengo la kuhamasisha ushindi tena nyakati amabzo umoja unahitaji!. Afu yanatokea mapuuzi yanaleta ujinga...Mnarudiana wenyewe kwa wenyewe. Fisi anakula utumbo wake.
Msemaji keshakutuma ukajipake, msikilize acha ukaidi, sisi tunakusubiri hapa tukuone kwa mapicha utakayotuwekea bibie... Mtakatifu Ana na blichi hatari sana...Pakeni wanathimba maana mmefurahia sana
Kajipake blichi dada usipoteze muda hukuTuliza kinyeo chako.... Bleach wapake wengine uumie wewe?.
Sawa Bi.Asha naona mimba ya pacome inakupelekesha. Nikuletee pemba au limao?.
Yeye alishaonesha mfano wa kupaka hiyo blich?Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.
Ali Kamwe amesema,
"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY ๐๐ข๐ญ๐๐๐ฅ๐๐ฆ๐ฎ ๐๐๐ข๐๐ข .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"
"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza ๐๐ข๐ญ๐๐๐ฅ๐๐ฆ๐ฎ ๐๐๐ข๐๐ข kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe
Nini maoni yako?
Mjanja M1
Watu wanatokwa na povu as if imetangazwa kua asiepaka bleach haruhusiwi kuangalia mechi.Hulazimishwi kupaka bleach
We tokezea uwanjani
Shangilia Yanga yetu
Coach anaandaa team Avic town
Hizi zingine ni mambobya nje ya uwanja na hamasa tu
Hii ishu inafanya team yetu iongelewe kwenye mitandao
Team ya media ni wabunifu mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo kama haya ndio huwa yanafanya Haji aonekane alikuwa sawa kwenye ile kauli yake.Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.
Ali Kamwe amesema,
"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY ๐๐ข๐ญ๐๐๐ฅ๐๐ฆ๐ฎ ๐๐๐ข๐๐ข .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"
"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza ๐๐ข๐ญ๐๐๐ฅ๐๐ฆ๐ฎ ๐๐๐ข๐๐ข kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe
Nini maoni yako?
โ๏ธ Mjanja M1